UKAWA majiji yetu yamewashinda?

UKAWA majiji yetu yamewashinda?

TUTU wa Jijia

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2016
Posts
727
Reaction score
564
Kila siku nimekuwa nikiona mh Zitto anavyotanabaisha ni jinsi gani atafanya halmashauri ya mji wa Kigoma kuwa ya mfano tofauti kabisa na wastahiki/lords Meya wa majiji yetu.

Wao naona hawana mipango yoyote zaidi ya kila kukicha kuja na operesheni ukchwara za UKUTA.

Dar es Salaam tatizo la maji jimbo la Ubungo na Kibamba ni sugu lakini sijaona mipango wanayofanya hawa waheshimiwa.

Wakumbusheni muda wa maendeleo ni sasa!!
 
Huyo kutwa yupo facebook anaandika maandiko marefuuuuu utekelezaji njoo uone kigoma sasa kero tupu bora atulie na wake zake huko
 
Kila siku nimekuwa nikiona mh Zitto anavyotanabaisha ni jinsi gani atafanya halmashauri ya mji wa Kigoma kuwa ya mfano tofauti kabisa na wastahiki/lords Meya wa majiji yetu.

Wao naona hawana mipango yoyote zaidi ya kila kukicha kuja na operesheni ukchwara za UKUTA.

Dar es Salaam tatizo la maji jimbo la Ubungo na Kibamba ni sugu lakini sijaona mipango wanayofanya hawa waheshimiwa.

Wakumbusheni muda wa maendeleo ni sasa!!
Wewe endelea kula panzi huko mtera na lusinde wako majiji yetu tuachie
 
Well spoken,Iringa tu inashikilia na UKAWA,lakini sioni wanachokifanya kwa mfano maeneo mengi ukitaka kupata Huduma ya maji bila laki sita mpaka million hupati maji,najiuliza wanatofauti gani na SISIEM,ukweli utabakia kuwa all politians are more less the same
1455474798940.jpg
 
Watu wamechukua majiji kwa kupendwa na wapiga kura na kazi wanafanya....huyo wenu ndio hajielewi kma ni ccm B au ccm A
 
Huo ni ufinyu wa fikra msingi wa nchi ni mashina utakulaje matunda ya mti ambao mizizi yake haina rutuba.
 
Huo ni ufinyu wa fikra msingi wa nchi ni mashina utakulaje matunda ya mti ambao mizizi yake haina rutuba.
Ww ni mbuzi kweli wao kigoma mbona wanamipango kabambe jambo iko kwenye karatasi..
Unatakiwa uwe na vision kwanza
 
Lazima ujue mipaka ya utendaji wa serikali kuu na serikali za mitaa. Miradi ya kupeleka maji jiji la Dar siyo ya jiji bali ya kitaifa hivyo kuwalaumu Mameya ni ujinga au kutokujua usemacho
 
huwa ninacheka na watanzania Jinsi walivyo kwani ukawa wanabajeti au serikali,kama serikali haitoi pesa kwa ajili ya ujenzi wa miradi ya maji utafanyaje
 
Back
Top Bottom