UKAWA kutoingia bungeni-siri yafichuka

UKAWA kutoingia bungeni-siri yafichuka

Eleza vizuri ueleweke wanalipwa na nani? Je huyo anaowalipa anafaidika nini na katiba ya sasa?
Si wale ankal wa kina yakhe.. wale wanaotaka tanganyika irudi ili zenji yao irudi!!
 
Pengine wanakuwa na mambo ya msingi kuliko huyu:-
2Q==
Kumbe kwa siku moja wasipoingia wanalipwa 450,000/= kudadadeki!
 
Kumbe kwa siku moja wasipoingia wanalipwa 450,000/= kudadadeki!
Na je wale wanaoingia, wanalipwa kwa shughuli gani? Wakati UKAWA wako nje wakitoa elimu, humo ndani kuna watu wanaendelea kulipwa wakitetea ujinga.. Ghosryder, kama elimu ni ghali, jaribu ujinga.
 
Last edited by a moderator:
Njaa ni mbaya sana..... Kwani usipopost huku kumbe hilipwi khaaa acha kuwa mtumwa mkuu buk 7 siyo hela afu ina laana hiyo
 
Kumbe kwa siku moja wasipoingia wanalipwa 450,000/= kudadadeki!

Basi na nyinyi walipeni 500,000 ili warudi bungeni. Ule utafiti ulionyesha kwamba CCM inapendwa na watu wenye akili kama zako ulikuwa sahihi 100%
 
Ukawa wanaumwa pakubwa sana wako tayari kuuza nchi kwa kulipwa pesa na mataifa ya nje wehu kabisa.
 
Kadri muda unavosogea,maccm yanakosa mbinu ya kuwashawishi ukawa(sauti ya watanzania)
ndio maana jana taisoni kazomewa sana pale itv

Mi naona huu ujumbe wako umekaa kinyume kabisa! kadri muda unavyokwenda "ma saccos" yanakosa mbinu za ushawishi.
 
Back
Top Bottom