UKAWA kutoingia bungeni-siri yafichuka

UKAWA kutoingia bungeni-siri yafichuka

Nyie wapuuzi hapa si mahala pa kupost chochote .......acheni ujinga uliochangamana na upumba.vu unaochangiwa na njaa inayosababishwa na MaCCM .......

Mbona point hii inawauma sana!
 
Kumbe kwa siku moja wasipoingia wanalipwa 450,000/= kudadadeki!

kweli hata kama ni mimi natafuta profit 450,000-300,000= 150,000 gain, ila siyo kwenye jambo la kizalendo kama hili la katiba.
 
Kama bunge lilikuwa linawalpa laki3 kwa siku na wanaoga matusi ya interahamwe, sio mbaya kama kapatkana mfadhili wa kuwalpa zaidi so nachowashauri wapge mikutano nchi nzima kueneza sumu ya Ccm.

Mikutano.ya Mbowe inahitaji michango mikubwamikubwa ya wafadhili isoyotakiwa kuhojiwa juu ya mapato na matimizi yake. Vipi we utachanga sh ngapi kamanda!?
 
na wewe unalipwa buku 7 kila unapopost pumba hapa jamvini pole sana kasuku uzuri watanzania washajua jinsi ya kuchambua nafaka na pumba

Mi nalipwa na nani! tatizo lenu mnaburuzwa na Mbowe na mawazo ya wake zake. We kiongozi gani kila akiamka asubuhi anafanya amendment za kanuni za chama bila mkutano wowote! mara anabadili baraza kivuli! mara anashirikiana na huyu, mara yule simtaki! Vikao hivyo vya yeye kulala na kuota na hatimaye asubuhi (baada ya kushauriwa na madem wake) anakurupuka na kutoa maamuzi!
 
Toka mwanzo tulishasema kuwa UKAWA wamelipwa ili wavuruge mchakato wa Katiba! ila kwa kuwa mbinu zao ovu zimeshajulikana, hawatafanikiwa daima!

Hata kwa hoja hii buku saba unapewa?
 
Na je wale wanaoingia, wanalipwa kwa shughuli gani? Wakati UKAWA wako nje wakitoa elimu, humo ndani kuna watu wanaendelea kulipwa wakitetea ujinga.. Ghosryder, kama elimu ni ghali, jaribu ujinga.

UKAWA wako nje wapi! wanalipwa kuhakikisha nchi inasambaratika! wapo bize wanapandikiza chuki za uongo kwenye innocent mind za watanzania ili wachukiane na hatimaye wapigane na hata kuuana. Hiyo ndio faraja ya hao wanaowalipa, dhamira ni kuhakikisha tawala zote Zilizoko madarakani ambazo zilishiriki kuondoa mabeberu zinaangushwa na kuweka vibaraka wao kwa gharama yoyote.
 
Last edited by a moderator:
Toka mwanzo tulishasema kuwa UKAWA wamelipwa ili wavuruge mchakato wa Katiba! ila kwa kuwa mbinu zao ovu zimeshajulikana, hawatafanikiwa daima!

Nyerere alimjibu yule mwandishi wa habari.....''siku moja ukisikia mimi ni baba yako mzazi utakubali... ???....''
 
Kumbe kwa siku moja wasipoingia wanalipwa 450,000/= kudadadeki!

Jamani, huyu mtu tumjibu kwa neno moja moja tu. hatuna hajavya kupoteza muda kwa kwa maneno mengi......

haya mimi naanza......

NYAMBAFUU...
 
i think this can be the first and the last foolish posting comment!!think critically, have a source of your information +crosscheck the information you have received;EID MUBARAK!
 
basi na nyinyi walipeni 500,000 ili warudi bungeni. Ule utafiti ulionyesha kwamba ccm inapendwa na watu wenye akili kama zako ulikuwa sahihi 100%

utafiti wa vichaa or?
 
Back
Top Bottom