UKAWA kutoingia bungeni-siri yafichuka

UKAWA kutoingia bungeni-siri yafichuka

Ukawa wanaumwa pakubwa sana wako tayari kuuza nchi kwa kulipwa pesa na mataifa ya nje wehu kabisa.

Na ikitokea genocide, wa kwanza kuwekwa kuzuizini ni hawa viongozi wa UKAWA. wanapitapita streets kupandikiza chuki kubwa sana.
 
kweli hata kama ni mimi natafuta profit 450,000-300,000= 150,000 gain, ila siyo kwenye jambo la kizalendo kama hili la katiba.

Kwani Mbowe anajali sasa! anachotafuta katika saccos yake ni super profit.
 
i think this can be the first and the last foolish posting comment!!think critically, have a source of your information +crosscheck the information you have received;EID MUBARAK!

Don't assume wearing glasses makes you seem smarter.
 
mbona mnahangaika sana kuwafitini?Hamtaweza.

Hatuwafitini mkuu, tunataka wasile pesa za damu, waachane na kupewa pesa na wavuruga dunia ambao tayari kwa kiasi kikubwa wameisambaratisha dunia.
 
Kumbe kwa siku moja wasipoingia wanalipwa 450,000/= kudadadeki!

Sasa hiyo ndio sababu ya wao kutoingia au? Hapo mjinga nani sasa, ni mlipaji au mtoa mada? Hebu lete mada zenye kichwa na miguu sio uzushi wa kibaraka mwenzako Paul Makonda mganga njaa asiyejua atashika tawi gani awamu ijayo.
 
Ha ha ha ha ha! Tumewabaini mnakula cha juu!

Mkuu leo ni siku ya kukaa na familia achana na huo ujira una laana japo huwezi kujua kwa leo, rudi nyumbani ufurahie eid na familia haya mafuriko we huwezi kuyazuia dhaifu mwenyewe anajua
 
Sasa hiyo ndio sababu ya wao kutoingia au? Hapo mjinga nani sasa, ni mlipaji au mtoa mada? Hebu lete mada zenye kichwa na miguu sio uzushi wa kibaraka mwenzako Paul Makonda mganga njaa asiyejua atashika tawi gani awamu ijayo.

Ndio sababu ya kutoingia, wao wapo ki maslahi zaidi, wanaangalia kama dili linalipa kwa kiwango gani.
 
Mkuu leo ni siku ya kukaa na familia achana na huo ujira una laana japo huwezi kujua kwa leo, rudi nyumbani ufurahie eid na familia haya mafuriko we huwezi kuyazuia dhaifu mwenyewe anajua

Hakuna kitu huko UKAWA tulizaneni tu.
 
Kumbe kwa siku moja wasipoingia wanalipwa 450,000/= kudadadeki!

Stori za vijiweni baada ya kupuliziwa moshi wa bange na kunywa viroba unazileta kwa magreat thinker! What a shame?
 
Back
Top Bottom