chogomzingwi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 240
- 21
Mtatiwa adabu pamoja na kuweka mgombea mmoja kura zenu zote wanaukawa hazifiki hata robo ya kura za mgombea wa ccm,mnasikitisha sana mnadhani ninyi ndiyo mnafikiri peke yenu kumbe hata wenzenu wanafikra pia wakati ukifika majibu mtayapata tu.
wanafikiri kupitia tume isiyo huru ya uchaguzi.