na ccm manani?....
Makalio
na ccm manani?....
hivi chama cha ukawa bado kipo tu? Teh teh teh teh watu wana njaa na urais hadi basi
sent from my ipad air using jamiiforums
Ndugu zangu wana jf, hatimaye nyundo ya kuwasambaratisha UKAWA imechongwa.nayo ni kuingiza suala la KADHI kwenye katiba mpya. Ukawa mlikuwa na plan b? Kazi kwenu
kwani waislamu hawalipi kodi?
[h=2]UKAWA kusambaratika Kesho[/h] 20th August 2014 21:39![]()
Ndugu zangu wana jf, hatimaye nyundo ya kuwasambaratisha UKAWA imechongwa.nayo ni kuingiza suala la KADHI kwenye katiba mpya. Ukawa mlikuwa na plan b? Kazi kwenu
Kesho maana yake imminent ... yaani muda si mrefu ... ni lugha ya fasihi tu ndugu yangu,hata hivyo ijulikane kuwa si matamanio yangu bali hofu yangu....Hiyo Kesho haifiki?
kwa sababu tz ni ya wakristoWanalipa but What so special for Muslims? Kama wanataka nchi yakiislam wahamie Iran.
kwa sababu tz ni ya wakristo
Kesho maana yake imminent ... yaani muda si mrefu ... ni lugha ya fasihi tu ndugu yangu,hata hivyo ijulikane kuwa si matamanio yangu bali hofu yangu....
Bado mkuu upo,,kweli umekuwa msahaulifu wakati we ndo Monitor wangu Milembe?hivii na ww bado wehu wako bado upooo tu?
...SWAFI SANA NAONA KILIO CHETU ALAH AMEKISIKIA;CCM, UDP NA 201 OYEEEEEEEEEEEE......!!
:coffee:
Swala la mahakama ya kadh ni swala la msingi kwenye katiba mpya tumelizungumzia sana wala haliusiani na udini msifanye mambo yaonekane makubwa wakati madogo hayo ni maoni ya watu tumetoa na tuna haki ya kutoa maoni yetu kwenye katiba hata wewe kama unamaoni ungetoa sio upinge maoni ya watu walio toa kuhusu mahakama ya kadh usiongee tu kama hujui tafuta maana ya mahakama hiyo inafaida gani ndio useme na ningeshauri kama hiyo mahakama haikuhusu basi kaa kimya usije kuleta uchochezi wa dini.
Katiba ya Joseph Sinde Warioba, Joseph Butiku na John Kabudi, ili amua kwa makusudi kudharau maoni ya wa Waislamu walio wengi katika nchi hii Pamoja na Maoni ya Taasisi Zote za Kiisalamu juu ya Mahakama Ya Kadhi, na kuweka mawazo yao. Kinachotokea ni Laana kwa kazi waliyoifanya. Mambo yapo hadharani, kila mwenye kufikiria kwa akili yake mwenyewe anashuhudia.
Ish!!! mimi huwa nakuona una hoja kumbe hakuna kitu,,,,, mahkama ya kadhi ni ibada,, hatuwezi kuhukumiwa na mahakama za kitwahut.... hasa katika maswala ya mirathi,, uislam ni dini yenye mfumo sahihi na ulio wazi,, ndo maana tuna banks zenye mfumo wa islamic banking.. na unafanya kazi vyema na hata huko kwa wakubwaa wenu wanaukubali:angry:
Wakiweka mahakama yakiislamu tutaweka mahakama yawakristo. Muislam akinishtaki msikitini mimi nitasubiri kuhukumiwa kanisani hataniona msikitini ng'o.
Ushitakiwe na mahakama ya kadhi we muislamu?