Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,283
- 4,556
Breaking News
Ndani ya Masaa 48, mgombea urais kupitia UKAWA atajulikana. Mazungumzo yanaelekea kufikia muafaka. Stay tuned.
Mungu bariki UKAWA.
Mungu bariki Tanzania.
Ndani ya Masaa 48, mgombea urais kupitia UKAWA atajulikana. Mazungumzo yanaelekea kufikia muafaka. Stay tuned.
Mungu bariki UKAWA.
Mungu bariki Tanzania.
Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA), katika kikao walichokaa jana wamepanga kutangaza mgombea Urais atakayeungwa Mkono na vyama vyote vinavyounda Umoja huo.
Kikao hicho kilifanyika katika ukumbi mpya katika jengo la LAPF Makumbusho, Kijitonyama.
Kikao hicho pia kilihudhuriwa na Wabunge wote wa Kambi rasmi ya Upinzani.