MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,185
- 24,055
Hawatafanikiwa na wanafahamu hawatafanikiwa!.
Bunge Maalum la Katiba lina kinga kisheria za kuzuia kuhojiwa na chombo chochote kuhusu lolote linalofanyika/lililofanyika ndani ya bunge.
Hawa wanatafuta sifa ambazo hazipo.
Bunge Maalum la Katiba lina kinga kisheria za kuzuia kuhojiwa na chombo chochote kuhusu lolote linalofanyika/lililofanyika ndani ya bunge.
Hawa wanatafuta sifa ambazo hazipo.