-Ni rahisi kuamini hvyo lakini kisheria ni ngumu mkuu,I'm afraid hoja hii haijakaa vizuri na nirahisi sana kujibiwa kisiasa. BMK linauwezo wa kuongeza ama kupunguza yaliyoko kwenye Rasimu kwa maslahi mapana ya nchi na wananchi wa Tanzania...
-Ni rahisi kuamini hvyo lakini kisheria ni ngumu mkuu,I'm afraid hoja hii haijakaa vizuri na nirahisi sana kujibiwa kisiasa. BMK linauwezo wa kuongeza ama kupunguza yaliyoko kwenye Rasimu kwa maslahi mapana ya nchi na wananchi wa Tanzania...
Wakuu katika kuonyesha dhamira ya dhati kuelekea upatikanaji wa katiba ya Wananchi,Mapema leo Mawakili wa Umoja wa katiba ya Wananchi wakiongozi na Wakili msomi Twaha Taslima watafungua kesi ya kikatiba katika mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam kutaka Tafsiri ya kisheria kuhusiana na Bunge maalum la katiba kujadili mambo yaliyo nje ya rasimu ya katiba.
-My take,Huu ni mwanzo mzuri hasa kuzingatia mbinu za CCM kupindua msingi wa rasimu ambyo msingi wake ni maonh ya wananchi.
-Ni rahisi kuamini hvyo lakini kisheria ni ngumu mkuu,
ukawa baada ya kunyimwa posho wanahangaika sana
-Tulia dawa ikuingie,tuwe wakweli " HAMNA KESI HAPO" labda kama mleta mada hajalipata vizuri shauri linalofunguliwa....mbona hii iko wazi katika sheria ya mabadiriko ya katiba
Mkuu kwako wewe unauona ni mwanzo mzuri sijui kwa vigezo gani.Wakuu katika kuonyesha dhamira ya dhati kuelekea upatikanaji wa katiba ya Wananchi,Mapema leo Mawakili wa Umoja wa katiba ya Wananchi wakiongozi na Wakili msomi Twaha Taslima watafungua kesi ya kikatiba katika mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam kutaka Tafsiri ya kisheria kuhusiana na Bunge maalum la katiba kujadili mambo yaliyo nje ya rasimu ya katiba.
-My take,Huu ni mwanzo mzuri hasa kuzingatia mbinu za CCM kupindua msingi wa rasimu ambyo msingi wake ni maonh ya wananchi.
I'm afraid hoja hii haijakaa vizuri na nirahisi sana kujibiwa kisiasa. BMK linauwezo wa kuongeza ama kupunguza yaliyoko kwenye Rasimu kwa maslahi mapana ya nchi na wananchi wa Tanzania...
ukawa baada ya kunyimwa posho wanahangaika sana
-Tulia dawa ikuingie,
-Toka nje ya box,usipende kukariri,Mkuu kwako wewe unauona ni mwanzo mzuri sijui kwa vigezo gani.
-Unatumia kigezo gani kuniita young Man'wow..come down young man. Nimetoa angalizo tu, sababu kuna kipengele kinachotoa "mamlaka ya kuboresha kwa kupunguza au kuongeza" kwa BMK.
i dont fancy any part here, including yours
-Mkuu pamoja sana watatuelewa tu,Mkuu tumia muda wako japo wa dakika 30 ukisikia Alfred Polepole anaongea sehemu tega sikio umsikilize
Jamaa analichambua jambo hilo tena kisheria kwasababu ni mwanasheria, Unaambiwa Bunge limepewa mamlaka ya KUBORESHA na si kubadiri maudhui au msingi wa Katiba ambao umejengwa katika muhimili wa serikali TATU.
Kwahiyo Bunge linaishia kujadiri vitu kama matharan vyanzo vya mapato ktk serikali ya MUUNGANO havitoshi wao wanaangalia waviongeze vipi. hii ndiyo maana ya kuboresha,
Ukipata muda msikilize ndugu Polepole aliokuwa Kamishna wa Tume nakuhakikishia hata kama utakuwa umebeba majini saba ya Intarehamwe yatakutoka mara hiyo.
BACK TANGANYIKA
-Unatumia kigezo gani kuniita young Man'
-Ndio!nimefanya lingual analysis nikafikia hiyo conclusion.....unataka methodologies nilizotumia??
kwani kuboresha maana yake ni nini?Mkuu tumia muda wako japo wa dakika 30 ukisikia Alfred Polepole anaongea sehemu tega sikio umsikilize
Jamaa analichambua jambo hilo tena kisheria kwasababu ni mwanasheria, Unaambiwa Bunge limepewa mamlaka ya KUBORESHA na si kubadiri maudhui au msingi wa Katiba ambao umejengwa katika muhimili wa serikali TATU.
Kwahiyo Bunge linaishia kujadiri vitu kama matharan vyanzo vya mapato ktk serikali ya MUUNGANO havitoshi wao wanaangalia waviongeze vipi. hii ndiyo maana ya kuboresha,
Ukipata muda msikilize ndugu Polepole aliokuwa Kamishna wa Tume nakuhakikishia hata kama utakuwa umebeba majini saba ya Intarehamwe yatakutoka mara hiyo.
BACK TANGANYIKA
-Kuboresha ni sawa ila si kuondoa msingi wake kimaudhui,kwani kuboresha maana yake ni nini?
Mkuu tumia muda wako japo wa dakika 30 ukisikia Alfred Polepole anaongea sehemu tega sikio umsikilize
Jamaa analichambua jambo hilo tena kisheria kwasababu ni mwanasheria, Unaambiwa Bunge limepewa mamlaka ya KUBORESHA na si kubadiri maudhui au msingi wa Katiba ambao umejengwa katika muhimili wa serikali TATU.
Kwahiyo Bunge linaishia kujadiri vitu kama matharan vyanzo vya mapato ktk serikali ya MUUNGANO havitoshi wao wanaangalia waviongeze vipi. hii ndiyo maana ya kuboresha,
Ukipata muda msikilize ndugu Polepole aliokuwa Kamishna wa Tume nakuhakikishia hata kama utakuwa umebeba majini saba ya Intarehamwe yatakutoka mara hiyo.
BACK TANGANYIKA
tuwe wakweli " HAMNA KESI HAPO" labda kama mleta mada hajalipata vizuri shauri linalofunguliwa....mbona hii iko wazi katika sheria ya mabadiriko ya katiba