Ukawa kuandamana nchi nzima

mpumbavu ww tena huna akili ku la ma ma a k o yaani ww ndio hewa yan kweli
mwana mbwa ww ulitegemea na mm ni shabikie huo usenge eti ww daa mbwa kabisa nishindwe kufanya kazi zangu nikaandamane nyoo Crashwise

Kwakua umefunikwa kwenye chupa isiyo na Mdomo za hapo Lumumba hutaweza kuandamana unasubiri kufisadi nchi tu

 

Asante Kamanda umewaumbua hawa lumumba
 
Mkuu Kichondi unatokea ukanda gani? Kama hutokei Marangu sema tukupe kitengo pale CDM ili tupunguze ile dhana ya ukabila.

Yericko ametushauri tufanye hivyo.

Natokea Tanganyika and we need Tanganyika Back
 
kikubwa vyombo vya usalama viwe makini sana.kuna vichwa kama kumi hivi ndo vinataka kuyumbisha amani ya nchi hii.

Watu hawa wanatakiwa kuwa monitored 24/7 ,kila wanachofanya,kila wanachoongea,kila wanaekutana ,wanaewasiliana,financial transaction etc vyote viwe monitored and analyised.
Yaani hata wakitoa ushuzi taarifa zifike vyombo vya usalama.
Hivi vichwa ndo vinaweza kupeleka nchi matatizoni iwapo wanaachwa loose.
 
Akili hauna nilikuwa nawatafuta watu kama wewe, mbona hakuna makatibu wakuu wa CUF na NCCR? SLAA amefuata nini kwenye hilo tamko? ndiyo ilikuwa maana yangu

Nashukuru sana mkuu inawezekana kweli sina akili. Nilikueleza tu kwa nia njema. Nikutakie uchangiaji mwema wewe mwenye akili nyingi kwa sababu inawezekana najibizana na mtu ambaye yuko kazini hapa JF! Ngoja mimi niendelee kusaka tonge huku niliko.
 
Kama ni ujinga mbona,ma CCM mmehamaki hivi .....katiba sio mali ya ccm ndugu zangu...mnakosea sana ..tulitakiwa kuwa on the same page kama taifa,kuwa na win-win situation
 
nyie hamna akili? hata warioba mwenyewe ameshindwa kutetea takwimu zake nyie mmeng'ang'ana wananchi wananchi. kwani mnafikiri wananchi ni mjimi moshi na arusha tu.
 
kundi la watanzania wengi liko bungeni kwa mujibu ya sheria, UKAWA ni wanaharakati kama walivyo akina ULIMWENGU, KABUDI, ANANILEYA NKYA n.k

Kubishana na wewe mwenye itikadi ya ki ccm nikuwaonea Watanzania walio wengi zaidi ya watu 17 elfu waliotoa maoni na hao mia 6 wapi ni wengi? Ovyo kabisa!
 

Uko sahihi mkuu dawa ilikuwa waende mahakamani kuomba mahakama isimamishe huo mchakato kama wanaona unaenda ndivyo sivyo.Lakini UKAWA ni wabishi na wakorofi hawaheshimu mgawanyo wa madaraka na sheria lengo lao kuleta vurugu tu katika nchi.Ndio maana hata wanasheria wameshaanza kuwapuuza kwa kuwaona kuwa wqanajifanya wajuaji sana kiasi cha kuona mahakama si kitu

Huko mitaani wanafwata nini zaidi ya kutafuata mahali pa kuanzishia cheche za vurugu.
 
Kama ni ujinga mbona,ma CCM mmehamaki hivi .....katiba sio mali ya ccm ndugu zangu...mnakosea sana ..tulitakiwa kuwa on the same page kama taifa,kuwa na win-win situation
mkuu katika michakato ya demokrasia hamuwezi always kuwa on the same page.

Na pale mnaposhindwa kukubaliana always kura ndo huwa muamzi wa mwisho.
Sasa inapotokea issue kama hii ukawa wanafanyaje kama kura haziwatoshi bungeni ku counter na kuwin dhidi ya wa ccm?.
Ukawa wanataka bunge lisitishwe,then WHAT?.
Kwamba tungojee mpaka uchaguzi upite.HALAFU?WHAT?.
Vipi kama baada ya uchaguzi bado ccm ikawa na majority bungeni na wakasimamia msimamo wao?.
 

Hivi hela za Watanganyika zinavyoliwa kwenye BMK nyie ndio raha yenu sasa Watanganyika tumeshtuka
 
Ni vyema zaidi tutoke kila pande ya Tanzania yetu tukutanie pale Dodoma tuwatoe nduki pale mjengoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…