UKAWA kitengo cha habari mmelala?

Mkuu asante kwa kukumbusha hili! Binafsi nitajaribu kumtafuta Makene tuongee juu ya hili pengine huenda kuna kitu anapanga. Nikimaliza nitakujuza PM.
 
Kigezo chako ni duni. Au unataka watumie staili ya CCM ili kuonekan a wajanja machoni pako. Pole
Akili za namna hii haziisaidii Chadema, kale kanyumba kwa hadhi ya Chadema ya sasa kanatakiwa kawe makao makuu ya jimbo au wilaya na siyo makao makuu ya Taifa.

Nenda pale buguruni ukaone makao makuu ya CUF yalivyo na hadhi yake licha ya kuwepo uswahilini, mjifunze kukosoana kwa adabu ndani ya vyama vyenu na siyo kusifu tu kila kitu, hivi unadhani mtu kama Lowasa umpe ofisi pale kichochoroni ufipa ataacha kwenda kwenye ofisi yake mikocheni?

Muwaeleze viongozi wenu ukweli huu, ofisi ya taasisi yoyote ni alama ya seriousness ya taasisi husika, hata tapeli mwenye ofisi ya kisasa ndio anayeweza kutapeli pesa nyingi kwa ufanisi.
 
Pole sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…