UKAWA kitengo cha habari mmelala?

Cc:chadema kwanza
Cc:Tumaini makene
 
Wanajua uovu wao kwa jamii zaidi ya wanaopoteza muda mitandaoni kutetea waovu.

nadhani wako sawa. Maana zamani walikuwa na jeuri ya kutetea uzushi juu ya viongozi wa chama.
Wewe tusha kuzoea kwa kuvuma kama upepo maana huna msimamo
 
Waandike matukio gani sasa! Ya kudai div 0 na IV wapate digrii or?
 
..kuna mdau alitoa hili wazo humu,watu wa cdm wakaja kwa mbwembwe kuwa mipango iko,labda tuendelee kusubiri itakuja

Nakumbuka sana many conglatulated cdm for that idea. Sijui ilifia wapi. Ikiibidi wafanye ziara kama ya maalim. Kuzunguka dunia excluding Africa, China and Russia
 
Hongera kwa kuona kuwa kitengo cha habari kimelala, ila uhalisia ni kua UKAWA nzima imelala usingizi wa pono, nchi haina wapinzani kabisa, ina kikundi cha walalamishi tu.
 
Hiki kitengo mafuriko yalipoisha na chenyewe kikatoweka.
 
Nakubaliana kwa 100% na Prof Kitila Mkumbo. Kwa bahati hili nililiona siku nyingi. Kuna shida kubwa mahali.

Unfortunately there is no shortcut, no any other option zaidi ya blocks zote zinazohusika kubadilika objectively and strategically in the way they conduct their business. Short of that, huko mbele kuna giza nene as a country.
 
Nakumbuka sana many conglatulated cdm for that idea. Sijui ilifia wapi. Ikiibidi wafanye ziara kama ya maalim. Kuzunguka dunia excluding Africa, China and Russia
...hawa jamaa wameshindwa hata kuendeleza ile apps yao..hawana accounts ya uhakika ktk social media ambayo kwa bongo inakua sana,hawana hata Youtube Channel kwa ajiri ya kupandisha clip zao,ila TUSUBIRI
 
...hawa jamaa wameshindwa hata kuendeleza ile apps yao..hawana accounts ya uhakika ktk social media ambayo kwa bongo inakua sana,hawana hata Youtube Channel kwa ajiri ya kupandisha clip zao,ila TUSUBIRI

Mwenye uwezo wa kuongea nao awashauri . Kama alivyosema kitila Luna haja ya mbinu mpya this era
 


Huu ni ukweli mchungu...but ukweli humuweka mtu huru.
 
Waandike matukio gani sasa! Ya kudai div 0 na IV wapate digrii or?

Hilo limetokea wapi? Ni ujinga kutokujua tofauti ya kujali utu wa watoto wale na viwango vya elimu zao. Kwa hiyo aliyefeli na kudahiliwa na serikali anapaswa kuwa treated kama mbwa? Kama huwezi kuwatetea watoto wa taifa hili wanaponyanyaswa huna sifa ya kuitwa mtu zaidi ya mbwa koko ambaye hamjui mmiliki wake.
 
Tatizo hoja za kupeleka kwa wananchi hamna. Mbona humu JF mmejaa tele na mnalindwa kiasi cha kutukana watu kuchafua watu na hairuhusiwi kujibiwa kwa matusi. Uchaguzi wa mwaka jana ulibeba hoja zenu zote na nyie kubaki mnazunguusha mikono na vichwa sasa mmebaki makapi.
Hata wakikuruhusu kupeleka utumbo wenu BBC DW na CNN utapeleka nini? Utamnukuu kubenea kuwa chadema wagoma kutoa penzi kwa ccm. Au utasema tumemgomea NS na sasa hataki kuachia wenyeviti.
 

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…