Deo Corleone
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 16,927
- 13,011
Anaitwa Yusta Lukasi (21)mzaliwa wa Tabora.
Dada wa watu ana makovu mwili mzima.
Mtenda Unyama anaitwa Ms.Maige Ambaye hadi sasa yupo rumande.
Wanawake hebu acheni huo ukatili basi.
Credit:Taarifa ya habari ITV kama ilivyoripotiwa na J.SELEMU.
Dada wa watu ana makovu mwili mzima.
Mtenda Unyama anaitwa Ms.Maige Ambaye hadi sasa yupo rumande.
Wanawake hebu acheni huo ukatili basi.
Credit:Taarifa ya habari ITV kama ilivyoripotiwa na J.SELEMU.