UKATA: DR Ulimboka Kurudishwa Nchini

Status
Not open for further replies.
magamba wanahangaika kweli kwanza wanataka wajua alipo then hta kama atarudi bongo hta kuja kijingajinga tu mtapgwa changa kma la kwenda sauzi badae mtaona mtu kaibuka kwenye media kawaumbua
 
kwa huyu anaejiita jeikei lazma atunge habari za kumliwaza, hata kama ni ya kweli, ataifurahia maana malengo yao wanaona yanakaribia kutimia.
 
Nadhani wote hamjamuelewa mleta mada, anachokifanya mleta mada ni kutress ili ajuwe Dr Ulimboka anatibiwa wapi, maana mpaka sasa ni siri juu ya Hospital inayomtibu, sasa huyu kibaraka kwakuwa anajuwa JF kuna watu ambao huwa na fact zote kuliko vyombo vya Serikali ndio ameamuwa kuja kwa gia hii.

Kiukweli hawa watu wanaweweseka sana kuhusu Dr Ulimboka wanajuwa kwamba umafia wao wote utaanikwa hadharani siku si nyingi.
 
kwani selikali lazima ichangie? Pelekeni pesa hiyo uswis kama kawaida yenu.
 
Kutuka katika chanzo cha kuaminika huko Ujerumani katika Hospital ya Max Grundig Hospital Baden-Baden,
Dr ulimboka ameobwa kulejea nyumbani na kumalizia matibabu yake hapa nchi hii ni kutokana na kulemewa na
mzigo wa bill za hospital.
Hiki chanzo cha kuaminika kinasema michango waliyotoa madaktari wakimchangia na kujikamua hakutosha na haitatosha
maana Hospital ya Max Grundig Hospital Baden imekataa kupokea hela kwa mafungu mafungu mfano bill ni $5000 jamaa wanalipa $2000 wanasema nyingine inakuja

Kama Madoctor hawajataka msaada wa serikali katika hili yatawatokea puwani maana muda si mrefu atarudi kutoka aliko


SOsi ;Chanzo cha kuaminika

Soma habari ya Mwananchi ya Tarehe 7/7/2012
Madaktari wakiri hali ya Ulimboka mbaya



WAENDELEA KUCHANGISHANA FEDHA ZA MATIBABU, MUHIMBILI, MOI BADO HAKUJATULIA, SERIKALI SASA YAWASHTAKI MMOJA MMOJA KWENYE BARAZA LAO
Katika hatua nyingine, madaktari wanaendelea kuchangishana kwa ajili ya matibabu ya Dk Ulimboka na katika awamu hii ya pili, imeelezwa kuwa takriban Dola za Marekani 30,000 zinahitajika.

Dk Mkopi alikiri madaktari hao kuendelea kuchangishana lakini hakuwa tayari kueleza kiasi ambacho kimepatikana mpaka sasa

Sasa hapa nani atampatia matibabu wakati madaktari wako kwenye mgomo usio na kikomo?hii kama siielewi elewi hii,na pia serikali si ilikua tayari kugharamia matibabu yake,imekuaje tena?
 
Naona mmejazana hapa bila sababu ya msingi kusikiliza porojo za huyu mjinga, kuna Taarifa mpya nyeti just realeased inawapita bure.

Fuatiliani link hii ni thread ameanzisha Invisible, achaneni na hili jinga hapa.
Link:
Dr. Ulimboka; kwa kinywa chake mwenyewe! | Ambayo hukuyajua...

kwa hiyo unataka watu wakeshe kwenye hiyo video mzee?si mtu anangalia kama analo la kuchangia anachangia then anasepa kwenda kwenye nyuzi nyingine,ndio mtindo wa hapa,hakuna kukaa pahala pamoja kukariri
 
Nadhani wote hamjamuelewa mleta mada, anachokifanya mleta mada ni kutress ili ajuwe Dr Ulimboka anatibiwa wapi, maana mpaka sasa ni siri juu ya Hospital inayomtibu, sasa huyu kibaraka kwakuwa anajuwa JF kuna watu ambao huwa na fact zote kuliko vyombo vya Serikali ndio ameamuwa kuja kwa gia hii.

Kiukweli hawa watu wanaweweseka sana kuhusu Dr Ulimboka wanajuwa kwamba umafia wao wote utaanikwa hadharani siku si nyingi.

Ha ha haaa siri mbele ya serikali au?kwani alisafiri na ungo kwenda huko kwenye matibabu si alipitia jk nyerere intl airport mchana kweupe sasa kuna siri gani hapo tena kwa mtu anaetaka kumfuatilia
 
Kutuka katika chanzo cha kuaminika huko Ujerumani katika Hospital ya Max Grundig Hospital Baden-Baden,
Dr ulimboka ameobwa kulejea nyumbani na kumalizia matibabu yake hapa nchi hii ni kutokana na kulemewa na
mzigo wa bill za hospital.
Hiki chanzo cha kuaminika kinasema michango waliyotoa madaktari wakimchangia na kujikamua hakutosha na haitatosha
maana Hospital ya Max Grundig Hospital Baden imekataa kupokea hela kwa mafungu mafungu mfano bill ni $5000 jamaa wanalipa $2000 wanasema nyingine inakuja

Kama Madoctor hawajataka msaada wa serikali katika hili yatawatokea puwani maana muda si mrefu atarudi kutoka aliko


SOsi ;Chanzo cha kuaminika

Soma habari ya Mwananchi ya Tarehe 7/7/2012
Madaktari wakiri hali ya Ulimboka mbaya



WAENDELEA KUCHANGISHANA FEDHA ZA MATIBABU, MUHIMBILI, MOI BADO HAKUJATULIA, SERIKALI SASA YAWASHTAKI MMOJA MMOJA KWENYE BARAZA LAO
Katika hatua nyingine, madaktari wanaendelea kuchangishana kwa ajili ya matibabu ya Dk Ulimboka na katika awamu hii ya pili, imeelezwa kuwa takriban Dola za Marekani 30,000 zinahitajika.

Dk Mkopi alikiri madaktari hao kuendelea kuchangishana lakini hakuwa tayari kueleza kiasi ambacho kimepatikana mpaka sasa

Lengo na maombi yenu kila siku ni Dr. Uli azimike ili msiumbuke kwa taarifa yako interview na taarifa ambazo uli ameshazitoa mpk sasa zitawaacha kinywa wazi it just a matter of time.ili wauma sana walipokata msaada wenu.Vita hii tunapigana tukiwa na Nguvu ya mungu mnapigana na mwili sisi roho!uzi wako umeuleta kishabiki haitawasaidia zaidi ya kuzidi kujiharibia
 
Mungu atalipa kila kitu...yani labda siyo huyu ninaemuamini mimi!
 
Mleta hii thread yakusuport unyama nae ni mnyama na kwa hili ataadhibiwa sawa na jk na mbwa koko pinda, yani nyie wanyama mngejua dunia hii ni mapito basi msingejalbu kumuua kanda uli, sasa mungu ataonyesha uwepo wake na wote itakula kwenu!!
 
Ujerumani ameenda lini tena kutoka South Africa? Mbona umeipresent ukiwa na furaha ya kurudi kwake? Umechemka
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom