- Thread starter
- #41
Hizi mvua hazijafika huko?
Nasubiri updates. Nadhani itahitaji uzi kamili wa kujitosheleza.
Hizi mvua hazijafika huko?
Inayojenga halo ni mayanga. Wanazuga tu pesa yote imeenda chatoMabibi na mabwana kipindi cha kampeni ndiyo hiki. Wapo wanaojinasibu na ubora wa miundombinu waliyojenga nchi nzima.
Labda kama ni miundombinu kiini macho!
Hivi karibuni baada ya kelele za kutosha waziri wa wizara husika japo bunge lilishavunjwa aliwahi mbio mbio kabla ya hatari:
Kabla ya Lissu, Waziri wa Ujenzi atembelea barabara ya Rusahunga - Rusumo
Baadaye akafuatiwa na katibu mkuu wa wizara husika. Huyu pamoja na kukiri aibu iliyokuwapo kuhusiana na hali ya barabara hii, aliagiza kazi ya usiku na mchana 12Bn/- zikiwa zimetolewa kwa ajili ya kipande hiki cha 92km.
Kufuatia hatua hizi pichani ni kichekesho cha millenia. Hakuna kazi kazi ya usiku na mchana. Kama kazi hii inahusisha 12Bn/- ambazo zimeshatolewa, labda kama ni upigaji mwingine tu:
View attachment 1556644
View attachment 1556647
View attachment 1556648
View attachment 1556657
View attachment 1556685
View attachment 1556657
View attachment 1556745
View attachment 1556644
Ikumbukwe kuwa Dodoma wadogo waliahidiwa 112km kwa 112Bn/- kwa ajili ya kupendezesha jiji ili wamchague mgombea wa chama pendwa!
Tatizo ni Engineer au tatizo ni Ufisadi? Maana hata kama design imefanyika vizuri, watu wakitaka kupiga lazima walipue kazi ili wabaki na chenji ya kutosha. On the other hand, hizo picha hazimaanishi kwa kazi ndio inaishia kujaza hayo mashimo pekee, kuna hatua zingine zinaweza kufuata hadi kufikia hatua ya mwisho ya kuweka changarawe, ila si lami. maana lami ni around bilioni 1 per kilometer,so labda wangetenga around 92bn tungeweza kuwa na matumaini
Jamaa amekutwanga hoja nzuri badala umjibu kwa hoja makini unamwita paka shume,halafu ndo mnataka kushinda.Akili za paka shume.
Kwa sababu Dar ndo inachangia zaidi ya 70% ya kipato cha nchi nzima kwa kifupi hata hivyo visima mlivyoahidiwa kuchimbiwa mostly ni kipato toka Dar na pia Dar soko la hao kuku unaofuga,mahindi unayolima huko bush ...so relax Dar ndo Tz Tz ndo Dar,nyie subirini visima na umeme wa rea unawatoshaYaani maendeleo ya nchi yanapimwa na maendeleo ya DAR ES SALAAM...... KITUKO CHA MWAKA HIKI.
DAR KUKIJENGWA FLY OVER NCHI NZIMA INAAMBIWA IFURAHI KISA FOLENI IMEPUNGUA.... NONSENSE how does it help us tulio huku maporini
Inayojenga halo ni mayanga. Wanazuga tu pesa yote imeenda chato
Kwa sababu Dar ndo inachangia zaidi ya 70% ya kipato cha nchi nzima kwa kifupi hata hivyo visima mlivyoahidiwa kuchimbiwa mostly ni kipato toka Dar na pia Dar soko la hao kuku unaofuga,mahindi unayolima huko bush ...so relax Dar ndo Tz Tz ndo Dar,nyie subirini visima na umeme wa rea unawatosha
Sijajua kwanini hii barabara imesahaulika na hizi mvua za mwisho wa mwaka huenda mambo yakaharibika.Hii barabara ni inachangia pato kubwa kwa taifa kuliko uwanja wa ndege uliojengwa chato.
Tatizo ni Engineer au tatizo ni Ufisadi? Maana hata kama design imefanyika vizuri, watu wakitaka kupiga lazima walipue kazi ili wabaki na chenji ya kutosha. On the other hand, hizo picha hazimaanishi kwa kazi ndio inaishia kujaza hayo mashimo pekee, kuna hatua zingine zinaweza kufuata hadi kufikia hatua ya mwisho ya kuweka changarawe, ila si lami. maana lami ni around bilioni 1 per kilometer,so labda wangetenga around 92bn tungeweza kuwa na matumaini