SparkJuniour2020
JF-Expert Member
- Jan 10, 2018
- 291
- 120
Hivi ni kweli una kipara au walikuzushia kama unavyozusha hapaππMambo yanavyoendelea kimya kimya na lawama toka kambi mbili katika chama kambi ya katibu mkuu toka Kanda ya Ziwa na kambi ya mwenyekiti kutoka kanda ya kaskazini zimekuwa zikitupiana lawama kila moja kwa wakati wake kuwa mwenyekiti amezorotesha chama na kupelekea kwa wabunge na madiwani kuhama.
Wanaendelea kutoa pesa kumlipia gharama zisizo za na lazima dereva wa muhanga wa risasi ili hali anaweza kurudi nyumbani kwa kuwa hakuna tatizo na mambo yamekwisha poa na hatafutwi kwa kuwa jalada lilishafungwa.
Ni lazima uchaguzi ujao mwenyekiti ang'oke.
Kambi ya mwenyekiti nayo imekuwa na shutuma lukuki kuwa katibu mkuu amekuwa baridi hata mikakati yake haipeleki chama mbele chini ya uongozi chama kimeendelea kupoteza majimbo na kata.
Ameshindwa kudhibiti mgawanyiko ndani ya chama na kuwatelekeza wagombea peke yao sasa ni lazima katibu mkuu ateuliwe mwingine na atoke kanda ya kaskazini ambako kuna wafia chama na waliopambana muda mrefu kukiweka chama kilipo!
Chanzo walio karibu na viongozi na wapambe wao!
Yanayozushwa ni mengi lipi ulilosikia!Hivi ni kweli una kipara au walikuzushia kama unavyozusha hapaππ
Kama hili ulilobandika hapaYanayozushwa ni mengi lipi ulilosikia!
chagueni wafia chama kama kina MWITTA au NGEDERE au yulee wa kino anaempenda MAGU sanaaaaMambo yanavyoendelea kimya kimya na lawama toka kambi mbili katika chama kambi ya katibu mkuu toka Kanda ya Ziwa na kambi ya mwenyekiti kutoka kanda ya kaskazini zimekuwa zikitupiana lawama kila moja kwa wakati wake kuwa mwenyekiti amezorotesha chama na kupelekea kwa wabunge na madiwani kuhama.
Wanaendelea kutoa pesa kumlipia gharama zisizo za na lazima dereva wa muhanga wa risasi ili hali anaweza kurudi nyumbani kwa kuwa hakuna tatizo na mambo yamekwisha poa na hatafutwi kwa kuwa jalada lilishafungwa.
Ni lazima uchaguzi ujao mwenyekiti ang'oke.
Kambi ya mwenyekiti nayo imekuwa na shutuma lukuki kuwa katibu mkuu amekuwa baridi hata mikakati yake haipeleki chama mbele chini ya uongozi chama kimeendelea kupoteza majimbo na kata.
Ameshindwa kudhibiti mgawanyiko ndani ya chama na kuwatelekeza wagombea peke yao sasa ni lazima katibu mkuu ateuliwe mwingine na atoke kanda ya kaskazini ambako kuna wafia chama na waliopambana muda mrefu kukiweka chama kilipo!
Chanzo walio karibu na viongozi na wapambe wao!
Ni mambo yanayoendelea kimya kimya hakuna uzushi walio jikoni wanafahamu!Kama hili ulilobandika hapa
muda si mrefu FISIEM itasomeka CDM B kwa hii style ya kununuanunua
Pole sana mkuu huwezi kuamini ukiambiwa mfia chama mkuu pia ana kadi ya chama dume!chagueni wafia chama kama kina MWITTA au NGEDERE au yulee wa kino anaempenda MAGU sanaaaa
hata mzee wa mihogo anayo aligoma kuitoa ameambulia ubalozi.. nunueni tu mkishamaliza mnunuane wenyewePole sana mkuu huwezi kuamini ukiambiwa mfia chama mkuu pia ana kadi ya chama dume!
Ndio ubaya wa kukaririshwa hamuwezi kuhoji udhaifu wa uongozi wala nini!hata mzee wa mihogo anayo aligoma kuitoa ameambulia ubalozi.. nunueni tu mkishamaliza mnunuane wenyewe
ndio ubaya wa kupenda hamuwezi kujiuliza huyu sizonje ni wawapi mbona anakowatumbukiza hampaoniNdio ubaya wa kukaririshwa hamuwezi kuhoji udhaifu wa uongozi wala nini!
Mi namshauri mwenyekiti kukata mzizi wa fitina aachie uenyekiti awe katibu mkuu! hiyo inaitwa win win stuation kama alivyofanya putinNi mambo yanayoendelea kimya kimya hakuna uzushi walio jikoni wanafahamu!
ndotolinerKasuku wa kihindi huwa ana kariri tu,ndege gani mbovu!
Kwa sisi waona mbali tunaona tupo kwenye safari na tutafika salama!ndio ubaya wa kupenda hamuwezi kujiuliza huyu sizonje ni wawapi mbona anakowatumbukiza hampaoni
kipofu anaona mbali etieeeπππππKwa sisi waona mbali tunaona tupo kwenye safari na tutafika salama!
Mwisho wa siku itajulikana kipofu ni nani!kipofu anaona mbali etieeeπππππ
aheri ya kipofu anaufikiri kuliko vijana wa lumumbaMwisho wa siku itajulikana kipofu ni nani!
Kipara bila akili ni sawa na kalio.Mwisho wa siku itajulikana kipofu ni nani!