Fursa Pesa
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 4,633
- 3,534
Tofautisha chama na serikali.
hutoa kauli kama hizo mara kwa mara, aliwahi kusema hivo kwa wauza unga, wala rushwa TRA,wauwaji wa zeru zeru, .....etc, the barking dog seldom bite.Nimeangalia Taarifa ya Habari ITV saa mbili usiku leo na kumshuhudia Rais Kikwete akiwakaripia wanachama wake wanaokichafua Chama hicho cha Zamani! Swali Je, mbona Rais wetu haoneshi ukali wa namna hiyo kwenye matukio kama mauaji ya raia, kukosekana kwa petrol, serikali na utendaji wake usioridhisha?
Poor argumentation!
Basi ninyi wenye "strong argumentaion" mwambieni Mheshimiwa rais awe anatembea na kisu mfukoni kwa ajili ya kuwachinja watu wote wanaotuhumiwa labda ndo mtaridhika kuwa rais ni "mkali". Sisi wenye poor argumentation tutabaki tunatazama au kuhudhuria mazishi ya watakaochinjwa na rais!!!!!
hivi ukali wa mtu unapimwa kwa maneno?
hivi mama au baba akiwa anasema tu anasema hata kibao hapigi mtoto mtukutu ataacha kweli ujinga ujinga?
ila akimpa vya ukweli? akasema akagomba halafu mtoto hasikii akamtandika mtoto atajua kumbe maneno yale yalikuwa ya kweli na nisipofwata nitaadhibiwa. sasa usemaji bila matendo ni udhaifu, yani wewe unaogopa hivyo unaishia kusema tu, au unataka majirani wasikie kuwa unakemea kumbe huna loloteeeeeeeeeeee.
Acheni unafiki wenu ninyi. mbona Pinda (Waziri mkuu) aliooneshaga ukali kwa wanaoua maalbino kwamba nao wauawe, badala ya kumsifia mkaanza kumwona kama kiongozi dikteta asiyefuata sheria. Sasa mnataka rais afanyeje? Subirini mjukuu wa Dr. Slaa atakapokuwa rais mwaka 2065 ndo mmwambie awe mkali wa kuchinja watu hadharani CCM haina sera hizo labda CHADEMA. CCM inafuata sheria na ndo maana kuna mahakama, polisi jeshi nk na si ukali wa mtu ndo uendeshe nchi!!!!
Acheni unafiki wenu ninyi. mbona Pinda (Waziri mkuu) aliooneshaga ukali kwa wanaoua maalbino kwamba nao wauawe, badala ya kumsifia mkaanza kumwona kama kiongozi dikteta asiyefuata sheria. Sasa mnataka rais afanyeje? Subirini mjukuu wa Dr. Slaa atakapokuwa rais mwaka 2065 ndo mmwambie awe mkali wa kuchinja watu hadharani CCM haina sera hizo labda CHADEMA. CCM inafuata sheria na ndo maana kuna mahakama, polisi jeshi nk na si ukali wa mtu ndo uendeshe nchi!!!!
Namshangaa anakaripia vitendo vya rushwa( ambavyo anavijua, tunavijua..na watoa,wapokea rushwa wanajulikana) lakini hii ni sawa kwake!
Kwanini asihakikishe wanachukuliwa hatua?
TAKUKURU wako wapi?
Kwa vitendo vya wazi (Obvious) hivi vinavyotendeka na hamchukui hatua, kweli tutaamini mnafanya kazi yenu kiuhalali? Kiusawa?
wapi la El mwamba wa kasikazini?