Ukaidi wa Zitto kwa Serikali

Ukaidi wa Zitto kwa Serikali

Mkuu Kagame amebadili Katiba ili aendelee kuwa kiongozi......anafuata nyayo za Mugabe na Museveni.....huoni kama ni indicator za dictatorship?

Mbowe naye ni dikteta? If my memory serves me well, naye alibadili katiba ya chama. Je ni indicator ile ile? Na hata hivyo hiyo sio pretext ya ku kwepa call kutoka Rwanda if any.
 
Mkuu mimi huy Bwana Mkubwa namkubali. Ila kuna vitu ambavyo wakati mwingine anavifanya ndivyo sivyo. Kama hili la kuzuia demokrasia na mengine yanayofanana na hayo. Nilianza kuwa na mashaka, siku nimesikia kauli yake akiwahutubia Makamanda wa polisi, wapelelezi na Mawaili wafawid. Alipo waambia polisi wasitishwe na mtu awe mwanasiasa au nani. Nikajua tunako enda njia inaweza ikakosekana tusijue tunaelekea wapi.

Hutakiwi kumkubali mtu wewe simama what is right and what is wrong. Basi, maanadamano yameanza kuzuiwa kipindi hiki cha Magufuli? je jina polisi CCM limeanza kipindi hiki?
 
Mbowe naye ni dikteta? If my memory serves me well, naye alibadili katiba ya chama. Je ni indicator ile ile? Na hata hivyo hiyo sio pretext ya ku kwepa call kutoka Rwanda if any.
Yes indeed.....same indicators....i wouldnt argue about that
 
Yes indeed.....same indicators....i wouldnt argue about that

Well and fine, let him justify it before the law. By the way, is he okay to do the necessary in Rwanda?
 
Zitto ni mshirikina tu wana weredi kama unavyofikiri weee,
mshirikina humjua mshirikina mwenzie. hapo juu umesema unamfaham ,ni nani kwako sijui failures kwann huwa wanawachukia successful people. We ni nani wakujilinganisha na zitto, we jadili hoja acha kujadl watu ,utakonda . Walimwengu wanamalimwengu.
 
Look! the fellow has insulted presedent Kagame, Ok! let me cut it short, what if Rwanda would request for prosecution. Is this fellow will cry baby for Magufuli protection or would face the music in Rwanda? I pose.
Now I can see you are using Rwanda to threat him indirectly kiufupi ccm mnahanya balaa hamna uhakika na matokeo ya hii vita
 
Zitto atakuwa anatumika. Na wanaomtumia ni watu wanaomwaminisha serikali haiwezi mfanya chochote maana wao Wana nguvu ya kuizuia serikali.

Zitto anaaminishwa kama vile Lowasa alivyowaaminisha kwamba anakuja nawafuasi wa CCM. Walimuahidi lakini baadae wakamwacha na wafuasi kiduchu.

Ndiyo hivyo inavyoweza tokea kwa Zitto, wanakuaminisha ila baadae watakuacha usote pekee yako. Zitto, tumia akili acha kutumika badala yake fanya siasa safi. Utakuja juta
Bila shaka wewe hujui hata maana ya neno siasa! Ni siasa ipi chafu inayofanywa na Zitto????
 
Now I can see you are using Rwanda to threat him indirectly kiufupi ccm mnahanya balaa hamna uhakika na matokeo ya hii vita

Come on dude, what is the connection around CCM and silly zitto insults?
 
..sikio la kufa..., Hivi kuna anayeweza kusema kulikuwa na mafanikio yoyote katika vita ya Zitto akitumiwa na akina Mengi, Mkono na wengineo dhidi ya Prof. Muhongo? Tusubiri mwisho wa vita hii maana wahanga tutawajua muda si mrefu. Mwenye masiko na asikie.
 
Ramadhani ndo nani? nielimishe plz.
Turudi kwenye maada, sisi tunaotoka kijijini tunafahamu namna gani ambapo wewe unapopata kikazi mjini na kuwasaidia kule kijijini wale unaowasaidia baadhi yao huamini kabisa wewe ni kigogo unaweza fanya lolote. Inafikia wakati wanaamini kabisa na wanakutumia vijana uwatafutie kazi wizarani, polisi ama hata ofsi ya Rais.

Hicho ndo kinatoa taswira kwa Zitto ya kwamba kuna watu kwa namna moja ama nyingine anawaamini sana ya kwamba wana nguvu kuliko Rais na serikali. Cha kumkumbusha tu Zitto ni kwamba Rais wa nchi za Afrika ana nguvu sana kuzidi mara kumi elfu mtu yoyote ktk nchi husika. Hapa namaana ya sitting president.

Namshauri tena Zitto arudi kwenye drawing table, anze siasa safi. Uwezo wa kufanya siasa safi na kupata umaarufu kupitia siasa safi anao.

Siasa safi ni kujipendekeza kwa ccm? Mnaamini siasa safi ni pale mtu anapojipendekeza kwa ccm, kwa mfano Prof Lipumba mlimsifu sana wakati wa uchaguzi na akawaponda wenzake. Leo anataka kurejea kwa aibu wakati kile alichokikimbia bado kipo. Mnajiona mnaweza siasa safi, lakini sisi tunawaona mnaendesha siasa za mabavu na kutia watu woga huku mkijinasibu mnatekeleza demokrasia. Kama umesikia kigoda cha mwalimu leo watu walivyokuwa wanamwaga nondo za uhakika, kwenye kongamano lile mmeanikwa hadharani kutokana na tabia yenu ya siasa za mabavu na hoja chache. Hivyo acha kumtisha Zitto tafadhali.
 
Scietific proof plz. Si mnataka Demokrasia na utawala wa sheria basi aka prove kwa court ya Rwanda kwamba Kagame ni dikteta. Kama Kagame aki m call kwa court je ataenda ku proove ama atalilia protection ya Magufuli?

Wewe lazima utakuwa ni mzee, hivi tulipokuwa tukiwaita wazungu wa Africa ya kusini kwamba ni wanyama kuna yoyote aliwahi kupelekwa Africa kusini kudhibitisha hilo? Ni mara ngapi tulikuwa tukimuita Peter Botha majina mabaya huku tukilaani tabia zake, lini tuliwahi kupelekwa mahakama za Africa kusini kudhibitisha ubaya wake? Jifunze kuvumilia usichokipenda. Narudia tena acha siasa za vitisho.
 
Mbowe naye ni dikteta? If my memory serves me well, naye alibadili katiba ya chama. Je ni indicator ile ile? Na hata hivyo hiyo sio pretext ya ku kwepa call kutoka Rwanda if any.

Ndiyo Mbowe ni dictator kama alibadili katiba. Hapa unaonekana uko kivitisho zaidi. Lini mliwahi kumtoa raia wa nchi yetu kwenda kujibu tuhuma kwenye nchi nyingine kuhusu maoni yake? Tumekuwa tukilalamika kuhusu wanyama wetu kupelekwa nchi za nje, ni lini uliwahi kuanzisha uzi kutaka wanyama wale warejeshwe? Leo unajifanya unauchungu sana na maoni ya Zitto kwa Kagame? Unafiki haulipi ndugu yangu.
 
Zitto atakuwa anatumika. Na wanaomtumia ni watu wanaomwaminisha serikali haiwezi mfanya chochote maana wao Wana nguvu ya kuizuia serikali.

Zitto anaaminishwa kama vile Lowasa alivyowaaminisha kwamba anakuja nawafuasi wa CCM. Walimuahidi lakini baadae wakamwacha na wafuasi kiduchu.

Ndiyo hivyo inavyoweza tokea kwa Zitto, wanakuaminisha ila baadae watakuacha usote pekee yako. Zitto, tumia akili acha kutumika badala yake fanya siasa safi. Utakuja juta
Hoja hapa ni kwamba kwa sasa Watanzania wanajua ukweli na wana ushahidi
(1)Wakati wa mikakati ya Kumpindua Mbowe Zitto alikuwemo na alitumia dola kutaka kusimamisha kamati kuu ya CHADEMA isijadili suala lake kwa kisingizio kuwa kesi ipo Mahakamani. Huu ndo Udikiteka wa Kwanza ambao Zitto amesahau.
(2)Wakati wa kesi Mahakama ika mbeba na mambo yakaendeshwa ki mabavu kuliko kawaida
(3)Zitto amesajiri Chama chake na kujipa madaraka hapo katika mazingira ambayo mwenye akili anafahamu
(4)Zitto alianza kuzunguka mikoanina kushambulia UKAWA huku umati ukiwa Mkubwa na dola wanamzunguka .Hapo ikaonekana CHEDEMA bila Zitto hakuna Chama
(5)Watu wa CCM humu ndani wamekuwa wana mpongeza Zitto na kumutukana Mbowe na Ukawa[Sasa ukisifiwa na Shetani jihadhari]
(6)Kauli zote za Zitto ktk mikutano yake zimebeba Maslahi ya wanaCCM walio athirika na hatua za Magufuli na tena yeye Zitto kakosa Ukumbi wa Bunge ambao amewekwa kutetea Waliomtuma

Nakushauli Magufuli ukae Mbali na Zitto lakini utafakali kuwa karibu na Upinazi wa aina ya Mbowe kwa kuwa ni upinzani wa Kweli

Upinzani wa Zitto unatokana na mipasuko ya CCM ya 2015
 
Zitto atawasumbua sana, kiufupi brain ya Zitto ni kubwa mno! ukubwa wa akili za KB92 hutafananisha na GB kadhaa, the guys is too logical, he knows issues, na Jamaa anamjua kuwa ni threat, njama zoteee hizi ni kumfanya awe weak ila kwa mlango mwingine ndo mnampa kick kubwa kinyume na matarajio yenu.

mlishawahi kukaa na kujiuliza ni nini ambacho amehoji kinyume na taratibu na ni wapi ameongea jambo ambalo hali make sense? mwacheni aseme provide havunji katiba yoyote wala sheria za nchi. Zitto is my role model! thats it!
Brain ya Shetani ni kubwa kuliko hata ya Zitto
Zitto hana pa kutokea kama dola wanaondoa mkono wake
 
kuanzia 16/06/2016 kimchina chako kitakapounguzwa na TACRA hutaweza tena kupost pumba hizi
dua la kuku hilo. demokrasia mnayoihubiri nyie wenyewe hamuiwezi ndo maana unataka simu yangu izimwe ili nisichangie!! nyie ndo madikteta na zito zigo lenu
 
Mwana asiesikia LA mkuu ....yetu macho ,walikuwepo wa aina yake .

Yani watanzania tunazidi tu kuwa wajinga...Mijitu kama wewe kwako serikali ni kila kitu hauwezi kustahimili watu wenye mitazamo tofauti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom