Ukaidi wa Zitto kwa Serikali

Ukaidi wa Zitto kwa Serikali

Zitto atakuwa anatumika. Na wanaomtumia ni watu wanaomwaminisha serikali haiwezi mfanya chochote maana wao Wana nguvu ya kuizuia serikali.

Zitto anaaminishwa kama vile Lowasa alivyowaaminisha kwamba anakuja nawafuasi wa CCM. Walimuahidi lakini baadae wakamwacha na wafuasi kiduchu.

Ndiyo hivyo inavyoweza tokea kwa Zitto, wanakuaminisha ila baadae watakuacha usote pekee yako. Zitto, tumia akili acha kutumika badala yake fanya siasa safi. Utakuja juta
Acha kufundisha watu uoga...
 
Magufuli ni lazima apingwe kwa nguvu zote, Zitto amekuwa ni kiongozi wa fikra za kizazi kipya kwa taifa hili na ikibidi kufa basi na wathubutu kumwua...yako wapi Makaburu yaliyomtesa Mandela na Wenziwe? Yuko wapi Idi Amini? Yuko wapi Hitler? Yuko wapi Mobutu Sese Seko? Yuko wapi Jean Bedel Bokasa? Hakika hatimaye Zitto na Umma wa Watanzania tutaushinda udhalimu!
 
Moderator unaondoa threads zangu,
Zitto ni mzigo kwa,sisi tunaomjua anaishi kwa ushirikina,hana uwezo wa kushindana na dola na haitakuja tokea,hilo msahau
Yaani wewe jamaa unaamini kuwa ushirikina una nguvu sana kiasi cha kumfanya Zitto awe kama alivyo?
Utakuwa ulipata matatizo katika hatua mojawapo ya ukuaji wako.
 
Ifike kipindi wabunge wachunguzwe uraia wao kwamaan kuna mda mbungu anatoa hoja kama sio mtanzania
 
Zitto atakuwa anatumika. Na wanaomtumia ni watu wanaomwaminisha serikali haiwezi mfanya chochote maana wao Wana nguvu ya kuizuia serikali.

Zitto anaaminishwa kama vile Lowasa alivyowaaminisha kwamba anakuja nawafuasi wa CCM. Walimuahidi lakini baadae wakamwacha na wafuasi kiduchu.

Ndiyo hivyo inavyoweza tokea kwa Zitto, wanakuaminisha ila baadae watakuacha usote pekee yako. Zitto, tumia akili acha kutumika badala yake fanya siasa safi. Utakuja juta
Hivi CCM mna akili gani?
 
Zitto atakuwa anatumika. Na wanaomtumia ni watu wanaomwaminisha serikali haiwezi mfanya chochote maana wao Wana nguvu ya kuizuia serikali.

Zitto anaaminishwa kama vile Lowasa alivyowaaminisha kwamba anakuja nawafuasi wa CCM. Walimuahidi lakini baadae wakamwacha na wafuasi kiduchu.

Ndiyo hivyo inavyoweza tokea kwa Zitto, wanakuaminisha ila baadae watakuacha usote pekee yako. Zitto, tumia akili acha kutumika badala yake fanya siasa safi. Utakuja juta
Mimi ninadhani Lowassa alienda Ukawa na wafuasi wengi tu kutoka CCM, sio lazima wawe prominent!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom