Ukahaba huu Msamvu Morogoro ni hatari

Hii biashara ilikuwepo enzi na dahari hakuna wa kuiweza

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ikumbukwe hilo eneo ni karibu na ilipotokea ile ajali mbaya ya moto wa gari la mafuta...
Pia inasemekana yule baunsa aliechomoa betri ndie alikuwa mlinzi wa moja ya pagale unampa buku unaingia unachagua dem unat***mba..
 
Hapo africasana tu.niliitwa saa 3 asubuhi.
kumpooza nikampa buku maana aliniganda anipe huduma
 
Tatizo lako wewe muhaya kiswahili kwako ni shida.

Huwezi kuwa na uelewa wa jambo bila kuielewa lugha iliyo tumika.
Kwani Mmawia ndo muongeaji halisi wa kiswahili? Ukishajiharibu uso na machanjo kibao unajikuta unajua kiswahili siyo!
 
Kuna kipindi nilikaa hapo Morogoro kuna hotel wamechukua Waturuki wanaotengeneza reli ya SGR hapo nyuma Msamvu. Sasa siku za weekend hao waturuki huwa wanatoka out.. basi hao dada zetu wanakuja kujipanga kama mafungu ya nyanya. Mturuki akitoka anachagua kwa kugeuza geuza mithili ya nyanya au maembe.
 
Naomba nitoe ushuhuda [emoji1787][emoji1787] siku moja nimetoka zangu bukoba nikafika Msamvu kama saa 5 ivi usiku kwanza gari ile kuingia itigi tu pale taa zikamulika malaya anapigwa pumbu kwenye roli
Baada kama ya dk 5 nikamuona baba kaja kunipokea Dah nilijuta watu wanapigwa pumbu nje nje wengine wanachimbwa tope kabisa
Tunafika nyumbani kesho yake baba anasimulia anasema alipata usumbufu sana halafu wanasema siku iyo biashara imekuwa ngumu

Hiyo Tisa kuna sehemu wanapita Ambiance pale sinza Africa sana pale pameoza mazee na ndio ilikuwa njia yangu kubwa ile nilikuwa napita pale hadi saa 8 usiku Dah jaman acheni jua liwe kali tu kuna wale wadada wa UDSM TUMAINI SOCIAL WORK ARDHI wapo pale sasa wengine bado wana aibu kabisa


Mungu atusamehe
 
Mna hAkika wa chuo kweli!?
 
Hiyo Hotel waliyopanga waturuki inaitwa GWAMI HOTEL
 
HahahahaahahHa
 
Hivi kuna raha gani kugonga K ya kununua ambayo kila mtu anachopeka uboho wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…