profesawaaganojipya
JF-Expert Member
- Apr 21, 2015
- 1,488
- 3,146
hadi hizi zenye digital odometer pia wanarudisha nyuma?Siku hizi hadi file ukitaka kuna mafundi wapo mjini zile km znarudi na huwezi jua.
Siku hizi hadi file ukitaka kuna mafundi wapo mjini zile km znarudi na huwezi jua.
Tulia ww bado una vumbi jekundu kwny viatu vyako. Karibu mzizima, uliza uambiwe kichwa majiWewe bado mshamba unaonekana.
Digital sina uhakika ila hizi za analog nimefanya kwny crown grs180 ya 2004 na subaru forester xt safi kabisaahadi hizi zenye digital odometer pia wanarudisha nyuma?
Ngoja ni save namba zenu, ya Mungu mengi ...anytime naweza kuachana na kupanda DCM na mwendokasi.Tunatoa huduma ya kukagua gari kama mtu anataka kununua mathalani kwa magari used.
Hii ni kwa gari ndogo tu.
Gharama ya kukagua huwa ni kuanzia Tsh. 150,000/=. mpaka 250,000/= kulingana na aina ya gari. Pia kama tutakagua gari na ikawa na shida na hujaichukua, unaweza kutuletea gari nyingine na hatutakutoza gharama nyingine.
Cha msingi kabla ya kuja kwetu kagua gari uridhike nayo, fanya kabisa na test drive ikiwezekana.
Baada ya hapo ndio unaweza kuja Ofisini,
Hapo tutakuwa na vipimo kadhaa.
1. Fully system Diagnosis (Hii inaonesha kama kuna faulty ya umeme kwenye mifumo ya engine, gearbox, abs, n.k. Pia itaonesha kama gari iliwahi kupata ajali)
2. Compression Test (Hii inaonesha afya ya engine kuanzia piston, rings, intake na exhaust valves kama ziko sawa. Gari ikifeli hii test ni vema kuachana nayo maana ukichukua muda si mrefu unaweza kujikuta unaenda kufungua engine na kuoverhaul au kununua engine nyingine).
3. Engine Oil pressure test. Asije akakudanganya mtu kwamba ukifungua mfuniko wa oil huku umewasha gari ukaona Oil inaruka basi pressure ipo. Hii kitu kuna muda haina uhalisia. Njia sahihi ya kupima pressure ni kwa kutumia gauge.
4. Transmission Oil pressure test. Hapa tunatest kama Gearbox yako inaweza kutengeneza pressure at idle na ukiwa unaendesha. Gari ikifeli test hii pia basi jiandae kununua gearbox muda wowote.
5. Smoke leak test. Hii tunatest kama engine yako ina leak kwenye pipes za hewa.
6. Battery and Alternator tests Hapa tunatest kama alternator ni nzima na inafua umeme vizuri pia kwa battery tunatest kama ni nzima au inakaribia kubadilishwa.
7. Fuel pressure test, Hapa tunatest kama fuel pump inazalisha pressure ya kutosha, pia tunatest kama fuel pressure regulator inafanya kazi inavyotakiwa.
8. Coolant leak test. Hapa tunatest kama gari inaleak coolant mahali. Iwe kwenye rejeta au hoses zake. Na tunakuonesha ni wapi coolant inaleak.
Hizi ni baadhi tu lakini zipo tests za aina nyingi.
Simu/Whatsapp 0621221606 au 0688758625.
Ofisi ipo Sinza kijiweni.
Wakishachezea Km hiyo Car Inspection report wanaichoma moto.
Hutokaa upewe.
Watakupa documents zote isipokuwa hiyo...
Siku hizi hadi file ukitaka kuna mafundi wapo mjini zile km znarudi na huwezi jua.
Mkuu unanunua gari ya 2015 kwenye informationa unaona ilinunuliwa na 80,000km. Assume unanua mwaka huu gari hiyo, unakuta gari ya 2015 inasoma 120,000km. Mkuu kwa akili za haraka unaona ni sawa? Kwa bongo hii miaka karibu 8 gari imetembea 40,000km tu?
Bongo usitumie akili sana
Mlimani cty pale gari zao ni 40000km hawachezi mbali tena gari za 2006 uko
Unakuta gari haina dent hata 1 cleaan kama ilikuwa kiwandani
Mtu bila kujiuliza hii gari kwann imetembea km chache na hii rangi mbn mpya kabisa analipia
Kumbe gari imetoka kuoga
Gari yoyote wanabadilisha.hadi hizi zenye digital odometer pia wanarudisha nyuma?
Karibu sanaNgoja ni save namba zenu, ya Mungu mengi ...anytime naweza kuachana na kupanda DCM na mwendokasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
SahihiKama haipo ukinunua gari bhs usilalamike
Kama gari imekua imported unaweza kujua actual kilometers iliyotembea kabla ya kua imported simply kwa kuchukua chassis number za gari alafu kazipaste kwenye google....taarifa zote za awali ya hiyo gari kwanzia rangi,km ilizotembea na defaults kama ipo yoyote zitakuja hapoMkuu unanunua gari ya 2015 kwenye informationa unaona ilinunuliwa na 80,000km. Assume unanua mwaka huu gari hiyo, unakuta gari ya 2015 inasoma 120,000km. Mkuu kwa akili za haraka unaona ni sawa? Kwa bongo hii miaka karibu 8 gari imetembea 40,000km tu?
Upo vizur sana kiongoz bt naomba uounguze bei uwe fair km garage zingine.Tunatoa huduma ya kukagua gari kama mtu anataka kununua mathalani kwa magari used.
Hii ni kwa gari ndogo tu.
Gharama ya kukagua huwa ni kuanzia Tsh. 150,000/=. mpaka 250,000/= kulingana na aina ya gari. Pia kama tutakagua gari na ikawa na shida na hujaichukua, unaweza kutuletea gari nyingine na hatutakutoza gharama nyingine.
Cha msingi kabla ya kuja kwetu kagua gari uridhike nayo, fanya kabisa na test drive ikiwezekana.
Baada ya hapo ndio unaweza kuja Ofisini,
Hapo tutakuwa na vipimo kadhaa.
1. Fully system Diagnosis (Hii inaonesha kama kuna faulty ya umeme kwenye mifumo ya engine, gearbox, abs, n.k. Pia itaonesha kama gari iliwahi kupata ajali)
2. Compression Test (Hii inaonesha afya ya engine kuanzia piston, rings, intake na exhaust valves kama ziko sawa. Gari ikifeli hii test ni vema kuachana nayo maana ukichukua muda si mrefu unaweza kujikuta unaenda kufungua engine na kuoverhaul au kununua engine nyingine).
3. Engine Oil pressure test. Asije akakudanganya mtu kwamba ukifungua mfuniko wa oil huku umewasha gari ukaona Oil inaruka basi pressure ipo. Hii kitu kuna muda haina uhalisia. Njia sahihi ya kupima pressure ni kwa kutumia gauge.
4. Transmission Oil pressure test. Hapa tunatest kama Gearbox yako inaweza kutengeneza pressure at idle na ukiwa unaendesha. Gari ikifeli test hii pia basi jiandae kununua gearbox muda wowote.
5. Smoke leak test. Hii tunatest kama engine yako ina leak kwenye pipes za hewa.
6. Battery and Alternator tests Hapa tunatest kama alternator ni nzima na inafua umeme vizuri pia kwa battery tunatest kama ni nzima au inakaribia kubadilishwa.
7. Fuel pressure test, Hapa tunatest kama fuel pump inazalisha pressure ya kutosha, pia tunatest kama fuel pressure regulator inafanya kazi inavyotakiwa.
8. Coolant leak test. Hapa tunatest kama gari inaleak coolant mahali. Iwe kwenye rejeta au hoses zake. Na tunakuonesha ni wapi coolant inaleak.
Hizi ni baadhi tu lakini zipo tests za aina nyingi.
Simu/Whatsapp 0621221606 au 0688758625.
Ofisi ipo Sinza kijiweni.
Hii ishu naona inawork kwenye baadhi tu ya magari. Siyo yote.Kama gari imekua imported unaweza kujua actual kilometers iliyotembea kabla ya kua imported simply kwa kuchukua chassis number za gari alafu kazipaste kwenye google....taarifa zote za awali ya hiyo gari kwanzia rangi,km ilizotembea na defaults kama ipo yoyote zitakuja hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanapima kitu gani na gani kwa hiyo 40k?Upo vizur sana kiongoz bt naomba uounguze bei uwe fair km garage zingine.
Arusha wapima kwa 40,000 garage fulan hvii
Hapana, Mimi siwezi ila inawezekana kwa mashine kama Delphi au Autocom kama ukipata hiyo mashine Original ya Msweeden.
Na bei ya hiyo mashine siyo mchezo.ni
Napenda unavyo acknowledge. Utafika mbali sana mkuuHapana, Mimi siwezi ila inawezekana kwa mashine kama Delphi au Autocom kama ukipata hiyo mashine Original ya Msweeden.
Na bei ya hiyo mashine siyo mchezo.
Kipimo gani kinatumika na factor zipi zitafanya mseme hii inakaribia kufabattery tunatest kama ni nzima au inakaribia kubadilishwa.
Zipo BATTERY TESTER ambazo zinaonesha State Of Health(SoH) ya battery inakuwa in terms of % kati ya 0 mpaka 100.Kipimo gani kinatumika na factor zipi zitafanya mseme hii inakaribia kufa