Mi nadhani bado hujafikia wakati wa kutaka kuona yaani kifupi hujakuwa kwani bado unaamuliwa maamuzi yako....pole ila achana na hayo mawazo ya makabila...mi mchaga ndi maana nimekwazika...lol
Hakuna uzushi lizzy, I had one chaga mwenye sir name la swai I used to love her so much at the time nikiwa chuo nikitegemea ela ya bodi bt alichokifanya for me iz wat made me to put the chagaz ktk list yangu ila to be honest nilimpenda before cjampata huyu mnyakyusa
Kama wamekukataza kuoa makabila hayo basi tafuta mdigo, au mbondei au mzigua, ikikosa huko nenda kwa wazaaramo, wakwere, wayao au wamakua them wapelekee familai yako.
Naomba ushauri ktk makabila haya,,chagaz,nyakyusa,waha en wahaya nmeambiwa nisithubutu kuoa btn them coz all of them are the money oriented,my family warned me although they are btful na wanajua utafutaji kujishugulisha kiuchumi,,, wat can I do!!! Coz am in love wit one among them
mkuu ipo hv,anaekupenda kwa dhati weka ndani,ndio bahati yko,usijejuta na kulia,ukabila c 2 hurudisha maendeleo nyuma bali pia ni dalili za udhaifu kwa mwanaume.hela hakuna asiependa na kama ni tabia ya m2 haiwez ikawa ya wote,ukikosea utakuja kuoa mwngne ila hauto2lia kwenye ndoa,trust me
huko uchagani hakuna wanaume sasa mnatoshana vp, coz wanawake ambao hawaolewagi ni wachaga.... Weng wana age kubwa wanaishi na serenget boys.I love you Lizzy.