UK to send Nuclear Submarine, Commandos to the Gulf

UK to send Nuclear Submarine, Commandos to the Gulf

Uk hana military capability ya kusmama na taifa kama IRAN..

Narudia....

Uingeeza hana uwezo wa kupambana na Iran.
Watu wengi hawa juwi kuwa kitendo cha Iran kudondosha tu ile drone ya US kilionyesha okomavu wa hali ya juu kabisa wa technologies ya Iran kulinganisha na uimara wa technology iliyotumika kuunda drone yenyewe!
Kitendo cha pili Iran kusema ita teka meli ya UK na kuteka kinadhihirisha Iran ipo tiari kwa lolote ameshaweka mpira kati nani bado anachaguwa goli!!?
!!! Je apo ni nani bado anabweka!??
Kutungua drone baharini na kwenda kuitafuta kwa muda mfupi na kuonesha Dunia kuwa umedungua drone ya anayejiita mbabe wa Dunia ni kitendo cha kuudhi na kushusha Thamani ya technology ya US !!
Ndio kunako pelekea Akina Erdogan na India kuzikimbia F-35! Na zana nyingine za US!
 
Vita ni suluhisho la mwisho kabisa badala ya njia zote za kidiplomasia kufail. So sioni kama kuna vita hapo gulf cause bado kuna chance kubwa ya mazungumzo
 
Mkuu nikitaka kusema hivyo hivyo, mm pia nawaza kuwa kama Iran asingeliiangusha ile drone yao basi sasaivi ingelikua vita taari, kuteka meli na kuiangusha drone inamaana Iran iko taari kwa lolote, ndio maana Us wakahairirisha malengo yao
Watu wengi hawa juwi kuwa kitendo cha Iran kudondosha tu ile drone ya US kilionyesha okomavu wa hali ya juu kabisa wa technologies ya Iran kulinganisha na uimara wa technology iliyotumika kuunda drone yenyewe!
Kitendo cha pili Iran kusema ita teka meli ya UK na kuteka kinadhihirisha Iran ipo tiari kwa lolote ameshaweka mpira kati nani bado anachaguwa goli!!?
!!! Je apo ni nani bado anabweka!??
Kutungua drone baharini na kwenda kuitafuta kwa muda mfupi na kuonesha Dunia kuwa umedungua drone ya anayejiita mbabe wa Dunia ni kitendo cha kuudhi na kushusha Thamani ya technology ya US !!
Ndio kunako pelekea Akina Erdogan na India kuzikimbia F-35! Na zana nyingine za US!
 
Aaahahahaaaahaaaah we jamaa huwa unanichekesha sn aisee kila siraha ya marekani na washirika wake unaijua hasa kwa udhaifu huku ukijitanabaisha kwamba siraha za mataifa ya kiarabu zna uwezo mkubwa sn aaahahahhahaaaaa
ni nuclear powered sio nuclear capable,hata hivyo UK hana fleet ya kutisha,tegemeo lao kubwa ni HMS Duncan ambayo ndo inatarajiwa kuingia persian gulf,hata hivyo iran wameshadeploy manowari zao ghuba kwahiyo sio ishu kivile,hiyo submarine ni kubwa haiwezi ingia gulf hakuna kina kirefu cha kuificha hiyo sub
 
Hawa wazungu wanaakili sana! Wanamtumia muIran kwenye vitisho wakijua wazi vita baina yao ni ngumu Lengo ni kuzikalia nchi za wapuuzi Waarabu kwa Cost zao wenyewe! UK ni mtoto sana kwa Iran kwani hana Manpower wala Asset za kumfanya Iran apoteze usingizi zaidi wasishangae hizo Submarine yao ikazamishwa na hao commandos wao wakatekwa km walivotekekwa US marines au makomandoo wa US
Kweli wewe ni Hatari mkuu, yaani Iran ina nguvu za kijeshi kuliko UK?
Iran wana uwezo wa kuteka ma commandoo bora kabisa Duniani wa SAS wa UK ?
Acha Ushabiki mkuu
 
Aaahahahaaaahaaaah we jamaa huwa unanichekesha sn aisee kila siraha ya marekani na washirika wake unaijua hasa kwa udhaifu huku ukijitanabaisha kwamba siraha za mataifa ya kiarabu zna uwezo mkubwa sn aaahahahhahaaaaa
Anakuja sasa hivi kukwambia kuwa una IQ ndogo
 
UK toka waanze na mambo ya kua na serikari chini ya waziri mkuu, wamefeli Sana..... Enzi za familia ya kifalme ikifanya kila kitu walikua na nguvu Sana
Waingereza bado wana nguvu sana za kijeshi mkuu, ila serikali waliamua kuirudisha mikononi mwa wananchi, sasa (waziri mkuu) kwa hiyo maamuzi yoyote ya vita yanakuwa magumu Kwa sababu ya mtifuano wa kisiasa.
Tofauti na nyakati za kifalme ilikuwa ni amri tu
 
UK mda mwingine hanaga utani anaweza akarusha ngumi kweli hawa jamaa siyo kama America

Japo iran naye siyo wa kimchezo mchezo ila ngoja tuone


Mimi nataman sana vita lika langu hili sijashudia vita kabisa, lakin british mimi nakukubali mzee wa kushawishi

Iran piga konde mwanangu ioneshe dunia kuwa wewe siyo mwarabu na hujalibiwa

British piga huyo ayatollah

Ayatollah set mitambo mpaka malikia aombe poo
Hahahahah...it isn't as easy as such!
 
waziri mkuu mtarajiwa wa UK,amesema leo ili wapambane vyema na iran,inabidi waanze kuunda manowari zaidi,maana yake UK hama manowari za kutosha,anazo chache tu,watu twitter wanamkejeli na kudai sasa hadi akaunde mimeli mgogoro upo tu unamsubiri,na hela itatoka wapi?

Mmmh wee jamaa nilikuwa nakuamini ila sasa Umekuwa muonho kupitiliza alafu huu mnazi mno wa Irani yani wewe ni una mahaba niteketeze na wahajemi aisee duuh!!
 
Mkuu nikitaka kusema hivyo hivyo, mm pia nawaza kuwa kama Iran asingeliiangusha ile drone yao basi sasaivi ingelikua vita taari, kuteka meli na kuiangusha drone inamaana Iran iko taari kwa lolote, ndio maana Us wakahairirisha malengo yao
Mkuu lile ndio shetani lao kubwa kuliko yote wanaliamini sana kwa sasa wamebaki wakiwa!! Iyo F-35 wenyewe hawana Imani nayo!
 
Hawa wazungu wanaakili sana! Wanamtumia muIran kwenye vitisho wakijua wazi vita baina yao ni ngumu Lengo ni kuzikalia nchi za wapuuzi Waarabu kwa Cost zao wenyewe! UK ni mtoto sana kwa Iran kwani hana Manpower wala Asset za kumfanya Iran apoteze usingizi zaidi wasishangae hizo Submarine yao ikazamishwa na hao commandos wao wakatekwa km walivotekekwa US marines au makomandoo wa US
Propaganda zimekuathili. Bro UK ndo taifa mama la Europe. Hata Hitler aliogopa kuingoza miguu UK.
 
Propaganda zimekuathili. Bro UK ndo taifa mama la Europe. Hata Hitler aliogopa kuingoza miguu UK.
Waingereza wenyewe wanasema UK pekeake hana uwezo wa kumzuia Iran kufanya analotaka kufanya ktk Persian golf kwan hana asset za kutosha na manpower! Iran sio Taifa dogo lina Takriban watu 80M na lina jeshi kubwa lenye asset na makombora mengi tu ya kuzamisha meli vita! Sio Propaganda kijana! Nadhani unaona jinsi UK anavo mobilise Nchi nyingine za Ulaya kupeleka Naval forces na Meli ili wasaidiane!Hivi unajua Iran ana Speed boats ngapi zenye uwezo wa kurusha anti ships missiles?
 
Watu wengi hawa juwi kuwa kitendo cha Iran kudondosha tu ile drone ya US kilionyesha okomavu wa hali ya juu kabisa wa technologies ya Iran kulinganisha na uimara wa technology iliyotumika kuunda drone yenyewe!
Kitendo cha pili Iran kusema ita teka meli ya UK na kuteka kinadhihirisha Iran ipo tiari kwa lolote ameshaweka mpira kati nani bado anachaguwa goli!!?
!!! Je apo ni nani bado anabweka!??
Kutungua drone baharini na kwenda kuitafuta kwa muda mfupi na kuonesha Dunia kuwa umedungua drone ya anayejiita mbabe wa Dunia ni kitendo cha kuudhi na kushusha Thamani ya technology ya US !!
Ndio kunako pelekea Akina Erdogan na India kuzikimbia F-35! Na zana nyingine za US!
Hii comment ni nzito ukiitazama kwa jicho pevu
 
Hawa wazungu wanaakili sana! Wanamtumia muIran kwenye vitisho wakijua wazi vita baina yao ni ngumu Lengo ni kuzikalia nchi za wapuuzi Waarabu kwa Cost zao wenyewe! UK ni mtoto sana kwa Iran kwani hana Manpower wala Asset za kumfanya Iran apoteze usingizi zaidi wasishangae hizo Submarine yao ikazamishwa na hao commandos wao wakatekwa km walivotekekwa US marines au makomandoo wa US
Hivi mkuu Iran na UK ipi ina man power ya kutosha na ipi haina tukiweka unazi pembeni?
.
UK wana kambi zao sehemu nyingi duniani na wana washirika wanaowapatia misaada kwa kiwango cha hali ya juu ikiwemo Tanzania, Iran ana military base wapi na wapi tofauti na kwake na Syria ambayo bado sio official base?
 
Hivi toka Falklands Wingerza alishapambana sehemu nyingini yoyote peke yake? Hii mikwara tu hata Trump alishapeleka meli karibu 6 Korea peninsula na mandege ila yakarudi bila hata kurusha jiwe ndani ya Korea kaskazini
Ila unafahamu kuwa kim ameshakaliwa na mabeberu tayari?
 
Dah unanitamanisha sana mkuu kesho asubuhi nikute BBC watu wamezichapa
Akili zingine hizi, haujui hata nchi yako itahusika kupeleka wanajeshi na huenda una ndugu ama rafiki jeshini atakaye kwenda kupoteza maisha na watoto wako wakakosa vitabu vya kujifunzia, waathirika wa Ukimwi wakakosa ARV, PrEP zikaadimika mahospitalin, Mafuta bei yake ikawa sawa na bei ya kununua pikipiki acha utani aisee
 
Back
Top Bottom