UK to send Nuclear Submarine, Commandos to the Gulf

UK to send Nuclear Submarine, Commandos to the Gulf

waziri mkuu mtarajiwa wa UK,amesema leo ili wapambane vyema na iran,inabidi waanze kuunda manowari zaidi,maana yake UK hama manowari za kutosha,anazo chache tu,watu twitter wanamkejeli na kudai sasa hadi akaunde mimeli mgogoro upo tu unamsubiri,na hela itatoka wapi?
leta ushahidi
 
Waingereza wenyewe wanasema UK pekeake hana uwezo wa kumzuia Iran kufanya analotaka kufanya ktk Persian golf kwan hana asset za kutosha na manpower! Iran sio Taifa dogo lina Takriban watu 80M na lina jeshi kubwa lenye asset na makombora mengi tu ya kuzamisha meli vita! Sio Propaganda kijana! Nadhani unaona jinsi UK anavo mobilise Nchi nyingine za Ulaya kupeleka Naval forces na Meli ili wasaidiane!Hivi unajua Iran ana Speed boats ngapi zenye uwezo wa kurusha anti ships missiles?
Sio golf ni gulf.

Alafu kuhusu man power acha utani hujui hata Tanzania ni nguvu kazi ya UK?
 
Wambie maana kuna watu ushabiki wa Simba yanga wanauhamishia ktk ishu nyeti bila kufikiri walau kidogo kwa ajili hiyo hiyo ndogo waliojaaliwa.
Vita inapiganwa kwa mbinu nyingi hasa kiakili zaidi, kurushiana silaha ni hatua ya mwisho kbs wakati kila kutu kilishakamilika mezani..
Kwa sasa kama wanajipanga tu maana raia wao awataki vita hila wanasogeza vitendea kazi kwa kisingizio cha kuongeza ulinzi kwenye strait, lakini watakuwa na hidden agenda.

Germany na France pia soon wana tuma meli na wenyewe wanasema wanaenda kuongeza ulinzi; wakishakamilisha jeshi utasikia wanatafuta sababu zingine za kumpa kibano huku wakiwa na nguvu za kutosha kulinda route meli zao za biashara ziingie na kutoka.
 
Us kashakula kona labda uwende kuwasaidia
Wambie maana kuna watu ushabiki wa Simba yanga wanauhamishia ktk ishu nyeti bila kufikiri walau kidogo kwa ajili hiyo hiyo ndogo waliojaaliwa.
Vita inapiganwa kwa mbinu nyingi hasa kiakili zaidi, kurushiana silaha ni hatua ya mwisho kbs wakati kila kutu kilishakamilika mezani..
 
UK mda mwingine hanaga utani anaweza akarusha ngumi kweli hawa jamaa siyo kama America

Japo iran naye siyo wa kimchezo mchezo ila ngoja tuone


Mimi nataman sana vita lika langu hili sijashudia vita kabisa, lakin british mimi nakukubali mzee wa kushawishi

Iran piga konde mwanangu ioneshe dunia kuwa wewe siyo mwarabu na hujalibiwa

British piga huyo ayatollah

Ayatollah set mitambo mpaka malikia aombe poo
US na UK Watampiga Muirani Kwavikwazo Tu Na Maneno Ila Sio Kwa Silaha

Hamna Mwenye Uwezo Wakumpiga Muajemi Hapo Kwa Sasa Labda Miaka Yambeleni Huko
 
Kwa sasa kama wanajipanga tu maana raia wao awataki vita hila wanasogeza vitendea kazi kwa kisingizio cha kuongeza ulinzi kwenye strait, lakini watakuwa na hidden agenda.

Germany na France pia soon wana tuma meli na wenyewe wanasema wanaenda kuongeza ulinzi; wakishakamilisha jeshi utasikia wanatafuta sababu zingine za kumpa kibano huku wakiwa na nguvu za kutosha kulinda route meli zao za biashara ziingie na kutoka.

Doh Kilatha Umekuja Na Hoja Hii Tena Si Ulisema Hawa UK Ndio Mabingwa Wafitna Mkuu

Jamaa watahamishia Mpaka Nchi Zao Mashariki Yakati Ila Hakuna Atakaerusha Hata Jiwe Kuelekea Iran Na Atakae Jaribu Atajuta Kuwepo Hapo Middle East
 

Doh Kilatha Umekuja Na Hoja Hii Tena Si Ulisema Hawa UK Ndio Mabingwa Wafitna Mkuu

Jamaa watahamishia Mpaka Nchi Zao Mashariki Yakati Ila Hakuna Atakaerusha Hata Jiwe Kuelekea Iran Na Atakae Jaribu Atajuta Kuwepo Hapo Middle East
Hivi we unadhani safari ya kupeleka askari wa kutosha na vifaa vya kivita kutoka Europe mpaka Gulf region ni kama muda wa kupanda daladala ya ubungo kwenda posta.

Na kwanza lazima wajipange nani anajukumu la kutwanga wapi katika nchi zinazoelekea huko, namna ya ku share information nani ataongoza/ coordinate majeshi ya nchi tofauti etc with liaison and team working. Muhimu ya yote kushawishi raia wao kwanini lazima waende kutia adabu huyo jeuri.

Subiri kwanza siasa za kubadili PM zitulie utaona tu kama hiyo meli itakuwa bado imeshikiliwa nini kitafuata.

Si umeona Iran wenyewe wametoa video kuonyesha wafanyakazi wa meli wapo poa tu na kuishitumu UK kujiingiza kwenye uonevu wa marekani na maneno mengine yasiyo nakiburi kwa kuchunga mdomo wao wasitoe kauli zitakazoongeza hasira za waingereza.

Ata wao Iran wanajua UK ni shetani mwingine kwenye maswala ya fitna.
 
Hivi we unadhani safari ya kupeleka askari wa kutosha na vifaa vya kivita kutoka Europe mpaka Gulf region ni kama muda wa kupanda daladala ya ubungo kwenda posta.

Na kwanza lazima wajipange nani anajukumu la kutwanga wapi katika nchi zinazoelekea huko, namna ya ku share information nani ataongoza/ coordinate majeshi ya nchi tofauti etc with liaison and team working. Muhimu ya yote kushawishi raia wao kwanini lazima waende kutia adabu huyo jeuri.

Subiri kwanza siasa za kubadili PM zitulie utaona tu kama hiyo meli itakuwa bado imeshikiliwa nini kitafuata.

Si umeona Iran wenyewe wametoa video kuonyesha wafanyakazi wa meli wapo poa tu na kuishitumu UK kujiingiza kwenye uonevu wa marekani na maneno mengine yasiyo nakiburi kwa kuchunga mdomo wao wasitoe kauli zitakazoongeza hasira za waingereza.

Ata wao Iran wanajua UK ni shetani mwingine kwenye maswala ya fitna.


Pro western mnateseka sana kuhusu swala lakuwaonyesha wa2 waile meli kama wako pw haijawa sababu maana hata 2011 alipo wateka nyara majeshi yamarekani aliwaonesha pia

Nikukumbushe tu juzi wametoa video nyengne wakiwaonesha waingereza kama ile meli isha anza kupeperushwa bendera ya iran


*Nb:Huu Mgogoro Ili Uishe Uk Hana Uwezo Wakumpiga Muiran Atakachofanya Nikurudisha Meli Yawatu Aloiteka Nayeye Apewe Meli Yake


Karata Yaturufu Ambayo Wamagharibi Wameitupa Ambayo Ilikua Ndio pekee Yakuishambulia Iran Ni Kule Kutunguliwa Kwa Ndege Ya US Maana Ule Ulikua Ni Uchokozi Wamoja Kwamoja Na Wameshindwa Maana Yake Hawawezi Pambana na Muiran

Kama Huamini Utaja Nambia Hapa Japo Najua kama Ukweli Unaujua Kama Jamaa Hawawez Mpiga Muiran Ila Ushabiki Mumeuweka Mbele


Iran Walichelewa Kumpiga Alipoteka Ubaloz Na Wanadiplomasia Wa US na Israel Mwaka 1979


Iran hawez pigwa tena labda vizuke vita vya dunia

Ila si US Si UK wala Western Countries Yyte Ambae Atajarbu Kumpiga Iran Kwamiaka Hii 10

Alikuepo Bush Mpenda Vita Zaidi Ya Trump Wakatoka

Magreth Pm Wa UK wakatoka

Jambo la kuipiga iran limebakia kwenye vikwazo 2 ila kwa Direct Kama Iraq na Wengneo Sahau Mkuu
 


Pro western mnateseka sana kuhusu swala lakuwaonyesha wa2 waile meli kama wako pw haijawa sababu maana hata 2011 alipo wateka nyara majeshi yamarekani aliwaonesha pia

Nikukumbushe tu juzi wametoa video nyengne wakiwaonesha waingereza kama ile meli isha anza kupeperushwa bendera ya iran


*Nb:Huu Mgogoro Ili Uishe Uk Hana Uwezo Wakumpiga Muiran Atakachofanya Nikurudisha Meli Yawatu Aloiteka Nayeye Apewe Meli Yake


Karata Yaturufu Ambayo Wamagharibi Wameitupa Ambayo Ilikua Ndio pekee Yakuishambulia Iran Ni Kule Kutunguliwa Kwa Ndege Ya US Maana Ule Ulikua Ni Uchokozi Wamoja Kwamoja Na Wameshindwa Maana Yake Hawawezi Pambana na Muiran

Kama Huamini Utaja Nambia Hapa Japo Najua kama Ukweli Unaujua Kama Jamaa Hawawez Mpiga Muiran Ila Ushabiki Mumeuweka Mbele


Iran Walichelewa Kumpiga Alipoteka Ubaloz Na Wanadiplomasia Wa US na Israel Mwaka 1979


Iran hawez pigwa tena labda vizuke vita vya dunia

Ila si US Si UK wala Western Countries Yyte Ambae Atajarbu Kumpiga Iran Kwamiaka Hii 10

Alikuepo Bush Mpenda Vita Zaidi Ya Trump Wakatoka

Magreth Pm Wa UK wakatoka

Jambo la kuipiga iran limebakia kwenye vikwazo 2 ila kwa Direct Kama Iraq na Wengneo Sahau Mkuu
Kwanza hakukuwa na sababu za msingi kuivamia Iran in late 70’s to date, kikubwa in terms of interest za West kwenye hiyo region ni mafuta.

Lakini walipokuwa bado awana vyanzo vingine vya mafuta ni waingereza ndio walio sponsor mapinduzi ya mwaka 1953 kuitoa serikari halali pale maslahi yao yalipoguswa.

Leo hii vyanzo vya mafuta wanavyanzo vingi nje na ndani ya nchi. UK ina mafuta North Sea kuweza kuendesha nchi yao kwa miaka 40 + bila ya kuagiza; kipindi hiki cha dunia ikiwa salama uwa wanapunguza production tu.

Kwa sasa interest ya hiyo region si kwa maslahi yao tu ya kiserikari bali biashara zao sehemu nyingine duniani zinazopitia hapo kama insurance, shipping industry, makampuni ya mafuta etc.

Kingine ni swala ambalo limezungimzwa sana ata kwenye hili jukwaa Iran geographical position inawapa advantage kwenye busiest shipping lane in the world strategically they can do damage, isitoshe wanavikundi vilivyo tapakaa ambavyo vinaweza sabotage miundombinu mbali mbali ya mafuta ndani ya Gulf area. Sasa risk zote hizo lazima ujue una minimise vipi kwanza kama una nia ya kwenda kumtwanga.

Marekani angeweza kuivaa Iran lakini vita yenyewe isingekuwa na popular support nyumbani kwao wala kwenye dunia. Kwanza kuna international laws kama UN charter Article 51 inaruhusu nchi kujikinga against aggressive behaviour kwenye ulinzi na kitendo cha marekani kilikuwa cha kibabe kwa sababu Iran hakuwa kam provoke mtu yeyote.

Lakini kushika hiyo meli sasa ndio katoa sababu na anajua, halafu wacha kujiongopea Iran hana ubavu wa kusimama na nchi za West.
 
Siraha ndio nini?
Aaahahahaaaahaaaah we jamaa huwa unanichekesha sn aisee kila siraha ya marekani na washirika wake unaijua hasa kwa udhaifu huku ukijitanabaisha kwamba siraha za mataifa ya kiarabu zna uwezo mkubwa sn aaahahahhahaaaaa
 


Pro western mnateseka sana kuhusu swala lakuwaonyesha wa2 waile meli kama wako pw haijawa sababu maana hata 2011 alipo wateka nyara majeshi yamarekani aliwaonesha pia

Nikukumbushe tu juzi wametoa video nyengne wakiwaonesha waingereza kama ile meli isha anza kupeperushwa bendera ya iran


*Nb:Huu Mgogoro Ili Uishe Uk Hana Uwezo Wakumpiga Muiran Atakachofanya Nikurudisha Meli Yawatu Aloiteka Nayeye Apewe Meli Yake


Karata Yaturufu Ambayo Wamagharibi Wameitupa Ambayo Ilikua Ndio pekee Yakuishambulia Iran Ni Kule Kutunguliwa Kwa Ndege Ya US Maana Ule Ulikua Ni Uchokozi Wamoja Kwamoja Na Wameshindwa Maana Yake Hawawezi Pambana na Muiran

Kama Huamini Utaja Nambia Hapa Japo Najua kama Ukweli Unaujua Kama Jamaa Hawawez Mpiga Muiran Ila Ushabiki Mumeuweka Mbele


Iran Walichelewa Kumpiga Alipoteka Ubaloz Na Wanadiplomasia Wa US na Israel Mwaka 1979


Iran hawez pigwa tena labda vizuke vita vya dunia

Ila si US Si UK wala Western Countries Yyte Ambae Atajarbu Kumpiga Iran Kwamiaka Hii 10

Alikuepo Bush Mpenda Vita Zaidi Ya Trump Wakatoka

Magreth Pm Wa UK wakatoka

Jambo la kuipiga iran limebakia kwenye vikwazo 2 ila kwa Direct Kama Iraq na Wengneo Sahau Mkuu
We bna uko siriaz kweli!!
 
Umesema:

"Kwanza kuna international laws kama UN charter Article 51 inaruhusu nchi kujikinga against aggressive behaviour kwenye ulinzi na kitendo cha marekani kilikuwa cha kibabe kwa sababu Iran hakuwa kam provoke mtu yeyote."

Hi article mbona hamkuikumbuka wkt US+Nato wakiivamia Libya?

Mmeona Iran ni kina kirefu then mnazuga eti kuna article sijui kitu gani,western hawawezi igusa Iran.
Kwanza hakukuwa na sababu za msingi kuivamia Iran in late 70’s to date, kikubwa in terms of interest za West kwenye hiyo region ni mafuta.

Lakini walipokuwa bado awana vyanzo vingine vya mafuta ni waingereza ndio walio sponsor mapinduzi ya mwaka 1953 kuitoa serikari halali pale maslahi yao yalipoguswa.

Leo hii vyanzo vya mafuta wanavyanzo vingi nje na ndani ya nchi. UK ina mafuta North Sea kuweza kuendesha nchi yao kwa miaka 40 + bila ya kuagiza; kipindi hiki cha dunia ikiwa salama uwa wanapunguza production tu.

Kwa sasa interest ya hiyo region si kwa maslahi yao tu ya kiserikari bali biashara zao sehemu nyingine duniani zinazopitia hapo kama insurance, shipping industry, makampuni ya mafuta etc.

Kingine ni swala ambalo limezungimzwa sana ata kwenye hili jukwaa Iran geographical position inawapa advantage kwenye busiest shipping lane in the world strategically they can do damage, isitoshe wanavikundi vilivyo tapakaa ambavyo vinaweza sabotage miundombinu mbali mbali ya mafuta ndani ya Gulf area. Sasa risk zote hizo lazima ujue una minimise vipi kwanza kama una nia ya kwenda kumtwanga.

Marekani angeweza kuivaa Iran lakini vita yenyewe isingekuwa na popular support nyumbani kwao wala kwenye dunia. Kwanza kuna international laws kama UN charter Article 51 inaruhusu nchi kujikinga against aggressive behaviour kwenye ulinzi na kitendo cha marekani kilikuwa cha kibabe kwa sababu Iran hakuwa kam provoke mtu yeyote.

Lakini kushika hiyo meli sasa ndio katoa sababu na anajua, halafu wacha kujiongopea Iran hana ubavu wa kusimama na nchi za West.
 
Unaambiwa Iran alishawapa mkwara kuwa Base zote za Us mashariki ya kati ziko kwenye shabaha za makombora ndio wakautia koko, nakubaliana na ww
Umesema:

"Kwanza kuna international laws kama UN charter Article 51 inaruhusu nchi kujikinga against aggressive behaviour kwenye ulinzi na kitendo cha marekani kilikuwa cha kibabe kwa sababu Iran hakuwa kam provoke mtu yeyote."

Hi article mbona hamkuikumbuka wkt US+Nato wakiivamia Libya?

Mmeona Iran ni kina kirefu then mnazuga eti kuna article sijui kitu gani,western hawawezi igusa Iran.
 
Back
Top Bottom