Duuu kumbe, tupe historia kidogo, ni lini? Na ilikuaje hadi kuachana na utawala Wa familiaUK toka waanze na mambo ya kua na serikari chini ya waziri mkuu, wamefeli Sana..... Enzi za familia ya kifalme ikifanya kila kitu walikua na nguvu Sana
Duuu kumbe, tupe historia kidogo, ni lini? Na ilikuaje hadi kuachana na utawala Wa familiaUK toka waanze na mambo ya kua na serikari chini ya waziri mkuu, wamefeli Sana..... Enzi za familia ya kifalme ikifanya kila kitu walikua na nguvu Sana
Dah! England mtoto!!!!Hawa wazungu wanaakili sana! Wanamtumia muIran kwenye vitisho wakijua wazi vita baina yao ni ngumu Lengo ni kuzikalia nchi za wapuuzi Waarabu kwa Cost zao wenyewe! UK ni mtoto sana kwa Iran kwani hana Manpower wala Asset za kumfanya Iran apoteze usingizi zaidi wasishangae hizo Submarine yao ikazamishwa na hao commandos wao wakatekwa km walivotekekwa US marines au makomandoo wa US
Nibora ubakie kuhistoriwa Kuhusu vitaUK mda mwingine hanaga utani anaweza akarusha ngumi kweli hawa jamaa siyo kama America
Japo iran naye siyo wa kimchezo mchezo ila ngoja tuone
Mimi nataman sana vita lika langu hili sijashudia vita kabisa, lakin british mimi nakukubali mzee wa kushawishi
Iran piga konde mwanangu ioneshe dunia kuwa wewe siyo mwarabu na hujalibiwa
British piga huyo ayatollah
Ayatollah set mitambo mpaka malikia aombe poo
Nimemmis sana George W BushTatizo ni Trump kutowapiga Iran siku wamedondosha dege letu
Ndo maana huwa nampenda Israel yeye hatanii
Chini ya Familia ya kifalme, walimiki dunia... Just take a look kwa sasa kila siku mawaziri wakuu wanajiuzulu tu kwa changamoto ndogo.Duuu kumbe, tupe historia kidogo, ni lini? Na ilikuaje hadi kuachana na utawala Wa familia
Hivi UMEFIKIRIA nini KUBANJUKA uwongo huu. Kwamba US hana power hana assets?? Naona umechangankiwa. Bajeti ya us inaweza kuwa mara kumi ya ya IRAN. Military statistics za us Ni number moja, Iran wala haupo kwenye kumi bora.Hawa wazungu wanaakili sana! Wanamtumia muIran kwenye vitisho wakijua wazi vita baina yao ni ngumu Lengo ni kuzikalia nchi za wapuuzi Waarabu kwa Cost zao wenyewe! UK ni mtoto sana kwa Iran kwani hana Manpower wala Asset za kumfanya Iran apoteze usingizi zaidi wasishangae hizo Submarine yao ikazamishwa na hao commandos wao wakatekwa km walivotekekwa US marines au makomandoo wa US
Sasa kama hiyo nuclear powered sub haiwezi kuingia Persian gulf so imetumwa iende wapii? Au Indian ocean??ni nuclear powered sio nuclear capable,hata hivyo UK hana fleet ya kutisha,tegemeo lao kubwa ni HMS Duncan ambayo ndo inatarajiwa kuingia persian gulf,hata hivyo iran wameshadeploy manowari zao ghuba kwahiyo sio ishu kivile,hiyo submarine ni kubwa haiwezi ingia gulf hakuna kina kirefu cha kuificha hiyo sub
Kawajibu kiutu uzima kwamba , vita kati ya U.K na IRAN ni kwamba hakuna vita hapowaziri mkuu mtarajiwa wa UK,amesema leo ili wapambane vyema na iran,inabidi waanze kuunda manowari zaidi,maana yake UK hama manowari za kutosha,anazo chache tu,watu twitter wanamkejeli na kudai sasa hadi akaunde mimeli mgogoro upo tu unamsubiri,na hela itatoka wapi?
waziri mkuu mtarajiwa wa UK,amesema leo ili wapambane vyema na iran,inabidi waanze kuunda manowari zaidi,maana yake UK hama manowari za kutosha,anazo chache tu,watu twitter wanamkejeli na kudai sasa hadi akaunde mimeli mgogoro upo tu unamsubiri,na hela itatoka wapi?
unaambiwa ni UK sio US. Kuna nchi inaitwa Uk na ingine US.Hivi UMEFIKIRIA nini KUBANJUKA uwongo huu. Kwamba US hana power hana assets?? Naona umechangankiwa. Bajeti ya us inaweza kuwa mara kumi ya ya IRAN. Military statistics za us Ni number moja, Iran wala haupo kwenye kumi bora.