Kwan ww ulishawai kuwapelekea wazungu misaada au ulishawai kuwakopesha. Kama ukishawai bas unahaki ya kuingilia mambo yaoHivi kwann watanzania tunakua wajinga kwa kuzipa vipaumbele kauli za hao watu wa mataifa ya ulaya na marekani? Ni lini tanzania iliwahi kuingilia maswala yao au wao ni malaika? Tuache ulimbukeni nchi yetu ilipata uhuru mwaka 1961.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app