Mwanaharakati16
Member
- Jul 31, 2022
- 21
- 19
Habarini wakuu
mimi ni kijana mwenzenu mwenye mipango na malengo ya kufanikiwa kibiashara zaidi katika siku zijazo
kutokana na maendeleo ya sayansi na teknologia katika nchi yetu na duniani kiujumla kumekuwa na uzalishaji wa fursa mbalimbali Nchini Ambazo zitatusaidia sisi kama vijana kupiga hatuna kutoka sehemu moja kwenda nyingne
Hivyo ningependa kujua zaidi kwa watu wenye uzoefu juu ya Agent wa china ambao hutumika kuagizia watu bidhaa katika nchi mbalimbali ikiwemo China na mimi kama kijana nimetamani kujikita katika sekta hyo ya kuwa Agent wa china ili kukuza maendeleo katika nchi yetu
Hivyo yoyote mwenye uleweza ni kwa jinsi gani mtu anaweza kuwa Agent wa china na baadhi ya vitu muhimu kuwa navyo
Natawashukuru sana kwa mchango wenu katika kukamilisha safari yangu ya maisha na ndoto zangu.
mimi ni kijana mwenzenu mwenye mipango na malengo ya kufanikiwa kibiashara zaidi katika siku zijazo
kutokana na maendeleo ya sayansi na teknologia katika nchi yetu na duniani kiujumla kumekuwa na uzalishaji wa fursa mbalimbali Nchini Ambazo zitatusaidia sisi kama vijana kupiga hatuna kutoka sehemu moja kwenda nyingne
Hivyo ningependa kujua zaidi kwa watu wenye uzoefu juu ya Agent wa china ambao hutumika kuagizia watu bidhaa katika nchi mbalimbali ikiwemo China na mimi kama kijana nimetamani kujikita katika sekta hyo ya kuwa Agent wa china ili kukuza maendeleo katika nchi yetu
Hivyo yoyote mwenye uleweza ni kwa jinsi gani mtu anaweza kuwa Agent wa china na baadhi ya vitu muhimu kuwa navyo
Natawashukuru sana kwa mchango wenu katika kukamilisha safari yangu ya maisha na ndoto zangu.