Ujuzi hauzeeki

Ujuzi hauzeeki

Pilipili kali

Member
Joined
Nov 22, 2017
Posts
65
Reaction score
38
Kwa anae hitaji ufundi wa simu anione soon class itaanza smartphone na zile za Batan ppt ulipo class itakufika na ufundi wa simu una pande mbili hardware na software
Hardware ni repair ya divice yenyewe simu haiwaki imeingia maji, kubadilisha kioo, kutoa IC nakujua njia za kujua ttz ktk simu matumizi ya digital multimeter kujua kupima vitu ndani ya simu husika n.k na mengine mengi tu
Software ni kutatua mttz mbali mbali yanayojitokeza ktk simu kwa mfumo wa software, kuondoa virus ktk simu, kutoa lock simu na mengine mengi tu ila ktk software itahitajika lazima uwe na computer.
Class inaanza Baada ya mshiriki kutafuta vifaa vyote tulivyomuagiza awe navyo ili tuende pamoja,,,,,,,
Unaweza kuuliza swali
lumia-610-vibrate-ways-300x232.jpg
 
Vifaa vipi vinahitajika..na cost yako ni ipi.?
Cost ya vifaa inategemea na ulipo vinauzwaje huko unapoishi
Vifaa kwa kuanzia uwe na
computer et list HDD 1TB
Hot air gun
Gun
Digital multimeter
Tools
Ukiungwa na group utazidi kujua ni ni nn na nn vyengine vyakuwa navyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom