sorry
nilitaka kusema tu kwamba,they have to careful,wasiwe na mawazo kwamba,akibeba mimba ndio guarantee ya kuolewa,na wawe wanachukua tahadhari kwa sababu wao ndio conceivers,saa nyingine mwanaume hua anakimbia kwa sababu yawezekana maisha ndio anayaanza,na ukweli ni kwamba,ukishampa ujauzito msichana wako,ina maana ni tayari mmeunganisha familia,kinachofuata ni taratibu za kuhalalisha,sasa nadhani wadau mnajua namna familia zetu za kibongo maisha yalivyo na mambo ya mahali yanavyozinguaga,cha msingi tujielewe tu,protection has to start from women ili asipate ujauzito kabla ya muda au makubaliano kati yake na mpenzi wake,ww unaona kabisa uchumi wa mwenzio mbovu,mnafanya kavu siku za hatari,ni mbaya sana,kudhihirisha kua uzembe upo,condom hua anavaa mwanaume tu,ni nadra mwanamke kuvaa condom,ni mawazo yangu lakini na ninawasihi vijana kutowaacha solemba wapenzi katika situation hizi.