Aisee wewe,huu uandishi hauhitajiki hapa
Hebu tafuta mahali pengine pa kuupeleka!
Thanx, lakini sikua naandika kitu ambacho ni formal saana mpka nifate taratibu za uandishi.
Kama unataka unapotoa mchango hapa uonekane ni wa mtu ambae ni mature sikiliza ninachokuambia
Kama unataka mchango wako hapa uonekane ni wa kavulana ambako kameijua JF kimakosa tu na bado kananuka maziwa ya mama yake usinisikilize!
Good boy!!!!!!!
Aisee wewe,huu uandishi hauhitajiki hapa
Hebu tafuta mahali pengine pa kuupeleka!
unacomplicate mambo jmn,khah..
Ooooohh!Sory
Lakini pia wewe sio woman ni girl!
Mi nshapita uschana so am a woman.
Unajua ni kwanini unaweza kuwa na umeri mkubwa lakini bado ukawa ni msichana?
Ni kwasababu unaweza kuwa na miaka 34 halafu mambo unayofanya ni ya kama kabinti ka miaka 17
Mfano ulichokifanya hapa kwa maana ya uandishi uliouweka hapo mwanzo
Hakuna mwanamke atakaeandika kama wewe
Ni msichana pekee ndio ataandika kama ulivyoandika
Ndio maana nakuambia wewe sio mwanamke ni msichana kutokana na ulichokifanya!