Ujumbe wangu wa wadada leo jumapili!

Ujumbe wangu wa wadada leo jumapili!

Kwanza sikushangai wewe kuniona nimekosea kumkosoa huyo mwenzako kwakuwa mnafanana

Halafu inawezekana hata hujui umuhimu wa kuitunza na kuiheshimu lugha yako

Lakini kikubwa zaidi huenda hujui umuhimu wa kuandika kiswahili fasaha hapa mtandaoni

Sio kosa lako

Suala la mimi kujali kuhusu lugha ni muhimu sana,ila kwako wewe usiejua ni kama kupoteza muda!

haya mjuaji...
 
Back
Top Bottom