Ujumbe wangu wa Leo Kwa vijana

Ujumbe wangu wa Leo Kwa vijana

Jack Daniel

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2021
Posts
4,058
Reaction score
16,927
Hello jamiiforum

Moja ya siku nzuri na yenye kupendeza ikiwa ni kumbukumbu ya kufufuka Kwa Yesu Kristo wa mbari ya Daudi.
Hakika ni moja ya sikukuu bora kabisa Kwa siku ya leo.

Ndugu zangu haswa wadogo zangu nawasihi na kuwakumbusha kuhusu NDOA.ndoa ni Jambo la hiyari ambalo wawili mkikubaliana Kwa dhati Mungu huwabariki.

Nawasihi oeni ili mtengeneze familia na mwisho mzuri wa maisha yenu.

Kwa umri wa miaka 25 to 40 mtu anaweza asione umuhimu wa ndoa,kwani bado anazo nguvu za kujiamulia mambo yake,lakini kuanzia 40 to 55 haswa kama huna Mali na uwezo kimaisha ndipo utalia na kujuta utatamani asogee mwanamke au mwanaume yeyote lakini utakuwa umeshachelewa.

Ukizeeka

Hutakuwa na energy kubwa kama uliyokuwa nayo leo

Hutokuwa na uwezo wa kuamua vitu bila kushirikisha mtu.

Na kama huna watoto waliozaliwa ndani ya ndoa,hesabu huna watoto kwanini,Mali zako hazitakuwa na usimamizi Bora badala yake.

Kila mtu atataka kuwahi kumiliki kitu fulani hapa ndipo utakapokosa msaada na kujuta.

Nawatakieni pasaka njema sherekeeni na punguzeni ulevi.

Kuna ajali zinaepukika,
Kuna kesi zinaepukika,
Kuna magonjwa yanaepukika

Lakini pesa yako itakuwa salama zaidi
 
Hello jamiiforum

Moja ya siku nzuri na yenye kupendeza ikiwa ni kumbukumbu ya kufufuka Kwa Yesu Kristo wa mbari ya Daudi.
Hakika ni moja ya sikukuu bora kabisa Kwa siku ya leo.

Ndugu zangu haswa wadogo zangu nawasihi na kuwakumbusha kuhusu NDOA.ndoa ni Jambo la hiyari ambalo wawili mkikubaliana Kwa dhati Mungu huwabariki.

Nawasihi oeni ili mtengeneze familia na mwisho mzuri wa maisha yenu.

Kwa umri wa miaka 25 to 40 mtu anaweza asione umuhimu wa ndoa,kwani bado anazo nguvu za kujiamulia mambo yake,lakini kuanzia 40 to 55 haswa kama huna Mali na uwezo kimaisha ndipo utalia na kujuta utatamani asogee mwanamke au mwanaume yeyote lakini utakuwa umeshachelewa.

Ukizeeka

Hutakuwa na energy kubwa kama uliyokuwa nayo leo

Hutokuwa na uwezo wa kuamua vitu bila kushirikisha mtu.

Na kama huna watoto waliozaliwa ndani ya ndoa,hesabu huna watoto kwanini,Mali zako hazitakuwa na usimamizi Bora badala yake.

Kila mtu atataka kuwahi kumiliki kitu fulani hapa ndipo utakapokosa msaada na kujuta.

Nawatakieni pasaka njema sherekeeni na punguzeni ulevi.

Kuna ajali zinaepukika,
Kuna kesi zinaepukika,
Kuna magonjwa yanaepukika

Lakini pesa yako itakuwa salama za
 
Hello jamiiforum

Moja ya siku nzuri na yenye kupendeza ikiwa ni kumbukumbu ya kufufuka Kwa Yesu Kristo wa mbari ya Daudi.
Hakika ni moja ya sikukuu bora kabisa Kwa siku ya leo.

Ndugu zangu haswa wadogo zangu nawasihi na kuwakumbusha kuhusu NDOA.ndoa ni Jambo la hiyari ambalo wawili mkikubaliana Kwa dhati Mungu huwabariki.

Nawasihi oeni ili mtengeneze familia na mwisho mzuri wa maisha yenu.

Kwa umri wa miaka 25 to 40 mtu anaweza asione umuhimu wa ndoa,kwani bado anazo nguvu za kujiamulia mambo yake,lakini kuanzia 40 to 55 haswa kama huna Mali na uwezo kimaisha ndipo utalia na kujuta utatamani asogee mwanamke au mwanaume yeyote lakini utakuwa umeshachelewa.

Ukizeeka

Hutakuwa na energy kubwa kama uliyokuwa nayo leo

Hutokuwa na uwezo wa kuamua vitu bila kushirikisha mtu.

Na kama huna watoto waliozaliwa ndani ya ndoa,hesabu huna watoto kwanini,Mali zako hazitakuwa na usimamizi Bora badala yake.

Kila mtu atataka kuwahi kumiliki kitu fulani hapa ndipo utakapokosa msaada na kujuta.

Nawatakieni pasaka njema sherekeeni na punguzeni ulevi.

Kuna ajali zinaepukika,
Kuna kesi zinaepukika,
Kuna magonjwa yanaepukika

Lakini pesa yako itakuwa salama zaidi
Umeacha kunywa pombe?
 
Hello jamiiforum

Moja ya siku nzuri na yenye kupendeza ikiwa ni kumbukumbu ya kufufuka Kwa Yesu Kristo wa mbari ya Daudi.
Hakika ni moja ya sikukuu bora kabisa Kwa siku ya leo.

Ndugu zangu haswa wadogo zangu nawasihi na kuwakumbusha kuhusu NDOA.ndoa ni Jambo la hiyari ambalo wawili mkikubaliana Kwa dhati Mungu huwabariki.

Nawasihi oeni ili mtengeneze familia na mwisho mzuri wa maisha yenu.

Kwa umri wa miaka 25 to 40 mtu anaweza asione umuhimu wa ndoa,kwani bado anazo nguvu za kujiamulia mambo yake,lakini kuanzia 40 to 55 haswa kama huna Mali na uwezo kimaisha ndipo utalia na kujuta utatamani asogee mwanamke au mwanaume yeyote lakini utakuwa umeshachelewa.

Ukizeeka

Hutakuwa na energy kubwa kama uliyokuwa nayo leo

Hutokuwa na uwezo wa kuamua vitu bila kushirikisha mtu.

Na kama huna watoto waliozaliwa ndani ya ndoa,hesabu huna watoto kwanini,Mali zako hazitakuwa na usimamizi Bora badala yake.

Kila mtu atataka kuwahi kumiliki kitu fulani hapa ndipo utakapokosa msaada na kujuta.

Nawatakieni pasaka njema sherekeeni na punguzeni ulevi.

Kuna ajali zinaepukika,
Kuna kesi zinaepukika,
Kuna magonjwa yanaepukika

Lakini pesa yako itakuwa salama zaidi
No reform no marriage
 
Bado, embu nisogezee ka link hapa mkuu.
 
Nasogea mkuu.
 
Sawa,jipe muda fikiria vizuri huenda ukabadili maamuzi
Okay, acha nione. Ila kila nikifikiri saa hii kuhusu ndoa maana yake nianze tena masuala ya kuzaa upya, sasa, kila nikiwaza suala la kuzaa watoto kwa wanawake tofauti tofauti naona hii biashara ni ngumu sana.
 
Okay, acha nione. Ila kila nikifikiri saa hii kuhusu ndoa maana yake nianze tena masuala ya kuzaa upya, sasa, kila nikiwaza suala la kuzaa watoto kwa wanawake tofauti tofauti naona hii biashara ni ngumu sana.
Upo sawa,kuzaa watoto na wanawake tofauti siyo nzuri Kwa ustawi wa Mali na assets zako.lakini vipi umefikiria ikiwa Mungu atakupa uhai mrefu.

Just imagine upo above 70 na huna mke
 
Back
Top Bottom