Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 455
Mkuu kesho ni upigaji kura jamani kwa maendeleo ya Taifa kwa miaka mitano,kura yako ni mhimu sana kufanya mabadiliko ya Tanzania yetu yenye malengo mazuri na wananchi wake, CHAGUA CHADEMA kwa kupata maendeleo hayo, Mkuu sorry kama kura yako itaenda CCM kwa fisadi Kikwete na Familia yake...CHAGUA DR SLAA for change...WE NEED SLAA 2010 - 2015...