CPA
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 809
- 354
...Yesu akajibu, amin nawaambia, ye yote atakayeuambia mlima huu, ng'oka ukatupwe baharin, wala asione shaka moyon mwake, ila amini kwamba hayo asemayo yametukia, yatakuwa yake..........,
.... Nanyi kila msimamapo na kusali, sameheni, mkiwa na neno juu ya mtu; ili baba yenu aliye mbingun awasamehe na ninyi makosa yenu (lakin kama ninyi hamsamehe, wala baba yenu aliye mbingun hata wasamehe ninyi makosa yenu).
Amin
.... Nanyi kila msimamapo na kusali, sameheni, mkiwa na neno juu ya mtu; ili baba yenu aliye mbingun awasamehe na ninyi makosa yenu (lakin kama ninyi hamsamehe, wala baba yenu aliye mbingun hata wasamehe ninyi makosa yenu).
Amin