Ujumbe wa Said Michael katika kibonzo

Ujumbe wa Said Michael katika kibonzo

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
58,636
Reaction score
220,350
1603296245905.png

Kuna mmoja wenzake wanamalizia yeye anataka kuanza. Mmoja hatumii nguvu nyingi lakini yuko katika mbili bora.
 
Mbona wale wa mbele kule hawajavaa kofia ngumu, traffic police hawapo?
 
Mzee wa ubwabwa kapigwa 'pin' na NEC kuhusu 'kiki' yake ya ubwabwa kwamba ni rushwa, na ndio maana popularity na speed yake imepungua!
Neck wakiamua wakuue watakuua tuu, wengine wanaleta wasanii lkn hawaongei chochote
 
Back
Top Bottom