Ujumbe wa Oktoba Mosi


*Mada:- USIMCHUKIE NDUGU MOYONI MWAKO ANAPOKOSA, MUONYE KWA UPENDO NA KUMREJESHA KWA UPOLE ILI AIJUE KWELI NA KUTUBU.".*

Neno:- Mithali 24:25 & 28:23

Bali kwao wakemeao furaha itakuwako; Na baraka ya kufanikiwa itawajilia.
Amkemeaye mwenzake hatimaye atapata kibali; Zaidi ya mtu ajipendekezaye kwa ulimi wake.

AMEN
 
"Andiko hili ni fumbo la imani "huu mwezi wana wa nchi hii watafika nchi ya Ahadi baada ya Taabu nyingi "Mungu wa Mbinguni atafanya safari yao iwe ya heri japo njiani kuna Nyoka,nge,Simba na njaa kali!!!"

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Amen...
 
Neema ya Mungu izidi Kuwa na Rais wetu Mzalendo Dkt John Magufuli

Laana yake Muumba imuandamane Yeye anayechochea Usodoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…