Kwa wale ma low IQ ambao bado hawaelewi why niko nyuma ya Rais wangu POTUS on this Iran war mtanielewa in due time…….
Kwenye hii vita ya Iran kila mtu anaangalia manufaa ya nchi yake.
1. Wa-Iran wanaotaka nchi yao ipigwe mabomu ili Islam Republic itoke madarakani bila kujali damage inayofanyika kwenye nchi yao wameamua hivi kwa manufaa ya mbeleni ya nchi yao.
2. Trump ameitikia wito wa wananchi wa Iran, kuwaokoa na serikali ya wauwaji kwa manufaa ya mbeleni ya nchi ya Marekani.
3. Israel imeitikia wito wa Wananchi wa Iran kuokolewa na serikali ya wauwaji kwa manufaa ya mbeleni na survival ya nchi ya Israel.
4. Mange Kimambi namsapoti Trump kwenye vita hii kwa manufaa ya mbeleni ya nchi ya Tanzania.
5. Chama cha CCM kipo upande wa Islamic republic na mpaka wanamlilia Khamenei kwa manufaa ya mbeleni ya chama chao. Wanajua Iran akishindwa hii vita basi madikteta wote duniani wako on notice.
6. Jiulize wewe upande ulioko kwenye hii vita una manufaa gani ya mbeleni ya nchi yako? Ukishapata jibu jiangalie kwenye kioo jiulize je wewe ni Low IQ au high IQ? Maana kila mtu mwenye high IQ anaangalia hii vita kwa manufaa ya mbeleni ya nchi yake ila wewe unafata ushabiki maandazi usio na manufaa ya mbeleni ya nchi yako.
Kwenye hii vita ya Iran kila mtu anaangalia manufaa ya nchi yake.
1. Wa-Iran wanaotaka nchi yao ipigwe mabomu ili Islam Republic itoke madarakani bila kujali damage inayofanyika kwenye nchi yao wameamua hivi kwa manufaa ya mbeleni ya nchi yao.
2. Trump ameitikia wito wa wananchi wa Iran, kuwaokoa na serikali ya wauwaji kwa manufaa ya mbeleni ya nchi ya Marekani.
3. Israel imeitikia wito wa Wananchi wa Iran kuokolewa na serikali ya wauwaji kwa manufaa ya mbeleni na survival ya nchi ya Israel.
4. Mange Kimambi namsapoti Trump kwenye vita hii kwa manufaa ya mbeleni ya nchi ya Tanzania.
5. Chama cha CCM kipo upande wa Islamic republic na mpaka wanamlilia Khamenei kwa manufaa ya mbeleni ya chama chao. Wanajua Iran akishindwa hii vita basi madikteta wote duniani wako on notice.
6. Jiulize wewe upande ulioko kwenye hii vita una manufaa gani ya mbeleni ya nchi yako? Ukishapata jibu jiangalie kwenye kioo jiulize je wewe ni Low IQ au high IQ? Maana kila mtu mwenye high IQ anaangalia hii vita kwa manufaa ya mbeleni ya nchi yake ila wewe unafata ushabiki maandazi usio na manufaa ya mbeleni ya nchi yako.