Imetulia sana
Utakuwa unamaanisha kiongozi wa malaika
Tena hataki kuona wenzake wakiinukaMkuu kuna watu wana pesa ila ndio waongo na wana roho mbaya sana,tena bora hata masikini,napingana na kauli yako...
Muovu mtekajiNa ukishakua Muongo bas lazma uwe Muovu