Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 51,096
- 122,459
Hili ndio kubwa japo hii inahusu wale waliokomaa kwenye hiyo ndoa ila kwa wale wenzangu na mie ni mwendo wa kususa tu yaani kila mmoja hana muda wa kukaa chini na kutafakari na anajiona yuko sahihi.Ni kweli ila wore tuna makosa me akiongea 1 ke kasema 10 ,Me akisema 5 Me anasema LAKI.TURUDI CHINI TUJITAFAKARI TUDUMISHE NDOA ZETU