Ujumbe wa leo katika picha.

Ujumbe wa leo katika picha.

The Icebreaker

Platinum Member
Joined
Apr 24, 2014
Posts
34,144
Reaction score
102,813
Screenshot_2018-12-14-18-53-25.jpg
 
Usisubiri uchafu uifunike mazima mkuu Wengi wetu huwa hatupendi kuzuia uchafu mdogo tunaacha Hadi itakapo chafuka yooote tukipata athari ndo tuanze tafuta sabuni na mafuta kuisafisha na kuipaka kumbe tusha chelewa.
Kama nimekuelewa hivi. 👏👏 wengi tunakosea hapa na kuona wacha nikae kimya tu yatakwisha mwisho wa siku hali inakuwa mbaya hasaa.
 
Kwenye ndoa asitokee mmoja wenu akajiona yeye yupo juu ya mwenzake,au yeye ana haki zaidi kuliko mwenzake,

Kwenye ndoa kuna mambo mengi na ndoa sio kustarehe tu au kua na amani tu ndani ya ndoa,ugomvi,kutokuelewana navyo ni sehemu ya maisha ya ndoa,

Mwisho ndoa ni;

  1. Kusikilizana,
  2. Kuvumiliana,
  3. Kusameheana.
 
Kwenye ndoa asitokee mmoja wenu akajiona yeye yupo juu ya mwenzake,au yeye ana haki zaidi kuliko mwenzake,

Kwenye ndoa kuna mambo mengi na ndoa sio kustarehe tu au kua na amani tu ndani ya ndoa,ugomvi,kutokuelewana navyo ni sehemu ya maisha ya ndoa,

Mwisho ndoa ni;

  1. Kusikilizana,
  2. Kuvumiliana,
  3. Kusameheana.
Wengi hatuelewi PENDO+NDOA nI Nini na Maana yake Nini
PENDO Ni RAHA
NDOA Ni SIRI na SIRI YAKE Ni
-KUPENDANA
-KUSIKILIZANA
-KUVUMILIANA
-KUHURUMIANA
-KUSAIDIANA
-KUELEKEZANA
-KUELEWESHANA
-KUELEZANA hasa UKWELI
-KUPEANA
MKE na Mume wakizifuata hizi KANUNI ipasavyo tutapunguza migogoro isiyo ya lazima
 
Huwengi hatuelewi PENDO+NDOA nI Nini na Maana yake Nini
PENDO Ni RAHA
NDOA Ni SIRI na SIRI YAKE Ni
-KUPENDANA
-KUSIKILIZANA
-KUVUMILIANA
-KUHURUMIANA
-KUSAIDIANA
-KUELEKEZANA
-KUELEWESHANA
-KUELEZANA hasa UKWELI
-KUPEANA
MKE na Mume wakizifuata hizi KANUNI ipasavyo tutapunguza migogoro isiyo ya lazima
Hapa ndio tunateleza wengi kwa kutokuzifuata hasa hapo kwenye kuelekezana na kueleweshana kwani wengi hasa nyie Me basi mnajiona hicho kipengele huwa hakiwahusu.
 
Dawa moja tu: Mwiko, tena Mwiiiko! Usichunguze simu ya mwenzio.
 
Hapa ndio tunateleza wengi kwa kutokuzifuata hasa hapo kwenye kuelekezana na kueleweshana kwani wengi hasa nyie Me basi mnajiona hicho kipengele huwa hakiwahusu.
Ni kweli ila wote tuna makosa me akiongea 1 ke kasema 10 ,Me akisema 5 Me anasema LAKI.TURUDI CHINI TUJITAFAKARI TUDUMISHE NDOA ZETU
 
Back
Top Bottom