Ujumbe mzito wa leo asubuhi huu hapa!

Ujumbe mzito wa leo asubuhi huu hapa!

Herbalist Dr MziziMkavu

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,077
Reaction score
34,847
12299302_10153244695364135_1035895969540631788_n.jpg
 

Attachments

  • MAKONTENA YALIYOPOTEABANDARINI.jpg
    MAKONTENA YALIYOPOTEABANDARINI.jpg
    20.3 KB · Views: 1,300
teeeeeh teeeh! Teeh! mkuu we acha tuu mbele ya wapiga dili hilo mbona n dogo sana ulichokiwaza n saihihi mie bado ata akilin haijaniingia ila naiman n hiyo hiyo mindude ndo iliyopoteakwa idadi uloitaja apo
 
ukipanga yote barabarani yatafika kama kilomita tatu na nusu hivyo ni karibu sawa na kutoka D.I.T (kona ya barabara ya bibititi na morogoro) mpaka labda Mwembechai hivyo ni sawa na kusema kipande hicho cha barabara kimepotea, huu ni utoto!
 
Nmecheka sana, lakn mbele ya vibaka hilo mbona jepesi?
 
Sasa yale makontena 39 ya magogo hapohapo bandarini ambayo katibu mkuu wa mali asili hayajui ya nani akili yako haikupata shida kufahamu? Eti ndio kaunda tume kuchunguza
 
ukipanga yote barabarani yatafika kama kilomita tatu na nusu hivyo ni karibu sawa na kutoka D.I.T (kona ya barabara ya bibititi na morogoro) mpaka labda Mwembechai hivyo ni sawa na kusema kipande hicho cha barabara kimepotea, huu ni utoto!

Kuna baadhi ya mambo unahitaji kujifanya zuzu ili uweze kuyaelewa
 
container zilizopotea ni hizi

attachment.php
 

Attachments

  • container.jpg
    container.jpg
    12.7 KB · Views: 1,119
Back
Top Bottom