Kama haya ndio unayajua leo baada ya mtu unayemlamba viatu kukutoa usingizini basi utakua unaishi maisha ya gizani sana.The Icebreaker naamini wee ni baba Bora Sana, karibu kwenye mada hii, ukue kiroho na uhudumie nyumba yako vyema.
Hizo bikira wanatolewa na kina nani mkuu ??Huyo mwanamke unaye mzungumzia alitakiwa awe bikra! Sio kwa hawa wasasa hivi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja niupange mfuko ucheue ninunue. Kwakuanza, Mungu abariki kazi za mikono."ndio
Jr
Hebu na wewe leta viatu vyako vilambwe mpaka viseme yallahhh...Kama haya ndio unayajua leo baada ya mtu unayemlamba viatu kukutoa usingizini basi utakua unaishi maisha ya gizani sana.