Ujumbe mkali kutoka Colombia!

Ujumbe mkali kutoka Colombia!

Ab-Titchaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2008
Posts
14,630
Reaction score
4,267
_56071276_four.jpg



_56071273_one.jpg




_56071275_three.jpg




_56071274_two.jpg
 
du mzigo kama huo unaupata ushatoka life unamweka rais unayemtaka
 
Kiini macho hicho! .... Oil & Drugs are the nuclei of US and Europe.
 
du mzigo kama huo unaupata ushatoka life unamweka rais unayemtaka

Hahahaaaaaaaaaaaaa! Aisee hata mie nilikuwa nawaza kwamba kwa mzigo kama huu, huna haja ya kuhangaika tena. Unashusha maghorofa (property estate) killa mji then unakula pensheni yako mpaka kufa na hata politics unaachana nazo, na unaamua ku mute kama Bakhressa vile!
 
Kumbe hii kitu inapikwa kienyeji kama gongo au chang'aa, duh!
 
Haya majamaa yana hela kuliko serikali mbili za Tanzania ukizichanganya pamoja!
 
Hahahaaaaaaaaaaaaa! Aisee hata mie nilikuwa nawaza kwamba kwa mzigo kama huu, huna haja ya kuhangaika tena. Unashusha maghorofa (property estate) killa mji then unakula pensheni yako mpaka kufa na hata politics unaachana nazo, na unaamua ku mute kama Bakhressa vile!
Hata wewe kamanda???
 
Nikiona hali ya maisha inakua ngumu basi naanza kupiga hizo kazi maanake kwa mwendo jinsi kina sisiem wanavyotupeleka putaputa itanibidi tu.
 
Jamani kwa sisi watz tunaomudu mlo mmoja kwa siku, picha za mihela hivi zinaweza kutupa ugonjwa wa moyo!
 
Back
Top Bottom