rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
kulikuwa na mdada mmoja mwenye jamaa yake mwanajeshi'huyo jamaa alihamishwa akaenda kufanya kazi mbali na anapoishi yule dada'siku anamsindikiza yule dada alimpa jamaa picha yake akamwambia kila ukinikumbuka angalia hii picha yangu'
Baada ya miezi sita yule dada alimwandikia barua yule jamaa yake akimjulisha amepata jamaa mwingine kwa hiyo arudishe ile picha yake'yule jamaa yake akapost picha nane akamwambia sikumbuki picha yako ni ipi
Kati ya hizi'tafadhali chagua ya kwako nirudishie zingine'yule dada hakuamini ile issue'hii inafundisha nini wakuu????
Baada ya miezi sita yule dada alimwandikia barua yule jamaa yake akimjulisha amepata jamaa mwingine kwa hiyo arudishe ile picha yake'yule jamaa yake akapost picha nane akamwambia sikumbuki picha yako ni ipi
Kati ya hizi'tafadhali chagua ya kwako nirudishie zingine'yule dada hakuamini ile issue'hii inafundisha nini wakuu????