Ujumbe kwa wanaume

Shida sio kutulia. Tukiamua kutulia na kuwa busy na shughuli kwaajili ya familia hamchelewi kugongwa na houseboy au Bodaboda..

Mnasahau kwamba tukiamua mbwaimbwai hapatakalika
Hahahaha ila wanaume bwana nyie si ndo kutwa kupiga kelele kwamba mwanamke hatakiwi kumlipizia mwanaume makosa yake? Sasa mbona na nyie mnafanya yale yale?
 
Sawa
 
Mkuu wangu mm nadhani sio mikiki ni mentality yenu tu
Sasa mkuu kama mimi kufanya tendo la ndoa siku nne hadi tano mfululizo kwa wiki ni utamaduni wangu inafikia kipindi huwa nagombana na wife sababu ya tendo la ndoa ye anataka mara tatu kwa wiki wakati mi nataka siku saba kwa wiki

Inafikia kipindi nikimwambia kama vipi nakutafutia msaidizi anaruhusu tu
 
Unachepuka kwa adabu?
 
Soma mwanzo.
Nmesema sijaolewa
Mke Wa kuoa ni Wa kuchagua from multiple selection, so you choose the "MOST CORRECT ONE" baada ya kuchagua unakuja gundua uliowaacha nao wanafaa Ndio unaanza kuwa na "mpango kando"/side chick.
Mtuonee huruma sisi wanaume.

Kama unahisi kuchagua ni rahisi basi angalia picha hii na tuambie tunakwama wapiiii
 
Basi ndo ivyo zingatia ushauri
 
Umeongea ukweli mtupu..
Na ukiona mwanaume hajachepka basi ujue ana matatzo binafsi, kama vile kifedha hajakaa sawa,matatzo ya kiafyan.k
Exactly..huu ni ukweli ambao wanawake huwa hawataki kuuamini.
 
Vijana wengi wa kileo atuna hofu ya Mungu na tunafikir kuingia kwenye nyumba za ibada ni kupoteza wakati na ushamba mambo ya dunia yametawala fikra zetu hata inapofikia unahitaji mke au mume mazingira yako unayo kuwa mda mwingi ni ya kidunia na starehe hivyo unakutana na mchumba disco ,au bar n then munaanza mahusiano ya ndoa hapo unategemea kuna uaminifu unatoka WAP maisha mliyo kutania ndio munayaendeleza sikufichi sio kwamba wanaume wote ni wapumbavu wapo waelevu wenye hofu ya Mungu aogopi kukusaliti wew ana Muogopa Mungu wake na kumheshimu mke wake jinsi ulivyo ndio utapata wa kufanana na wew.
 
Yaani dada me nakuambia ukweli,wapo wenye unafuu tu. Kumbuka hata watu waliokuwa wameaminiwa na Mungu nao walichepuka. Kwenye biblia ibrahimu alichepuka,mfalme Daud hadi aliua ili amuoe mchepuko,mfalme suleimani ndo alivunja record kwa kuoa wake halali 700 na michepuko 300. Huenda Mungu mwenyewe anaruhusu tuchepuke sema sisi tu ndo tunawaogopa nyie. Lkn nadhani Mungu hana tatizo na wanaume kuhusu hilo.
 
Umeongea ukweli mtupu..
Na ukiona mwanaume hajachepka basi ujue ana matatzo binafsi, kama vile kifedha hajakaa sawa,matatzo ya kiafyan.k
Sio kwamba watu wote ni mashetani km munavyo fikiria wapo wenye pesa na afya nzuri wanao heshimu ndoa zao napia wana hofu ya kumkosea Mungu.
HOFU YA MUNGU NI MUHIMU SANA KWA MWANADAMU
 
Lingine my nigga's wanawake wa sikuizi wanaroga,mtarogwa msahau future zenu na wake zenu/watoto/familia zenu!
Huyu ndiye baba wa points zoote ulizonena,lakini na nyie wanawake
jifunzeni kuwa ndoa siyo "pingu za maisha" Huu msemo unawaponza
ukishaolewa unajiona unaweza kumfanyia mmeo lolote kisa
mmefunga pingu za maisha na hapo ndo mwanzo wa maelezo yote unapoanzia.
Simaanishi wanaume wachepuke,lakini kinamama heshimuni waume zenu
na kuwatii ili na ninyi mheshimike.
 
Mkuu kwa hiyo wewe mchepuko wako ni bange? kweli kila mbuyu na jinni lake.
 
Kwahiyo wewe vizuri vyote lazima uvile? Na hiyo huruma mbona mnapenda kuonewa ninyi tu sisi mbona hamtuonei huruma?
 
Kwahiyo wewe vizuri vyote lazima uvile? Na hiyo huruma mbona mnapenda kuonewa ninyi tu sisi mbona hamtuonei huruma?
Baadhi ya Imani zimeruhusu wanaume tuoe Mke zaidi ya mmoja, Mke atabakia Kwa Mme mmoja mwenye wake wengi.
Hata vikao vya Beijing vya haki Sawa havijataka kugusa hapo.... Muache hivi hivi....
 
Mkuu kwa hiyo wewe mchepuko wako ni bange? kweli kila mbuyu na jinni lake.
Niwashe bajaj niufate mchepuko.. Kisha niurudishe kwao.

Acha matumizi mengine wakati nachepuka na Bado nikirudi nyumbani nigombane na Mama yoooyoo.. Wasiwasi mwingi.

Bora nile Bange sana kisha ninunue Nyama kilo mbili tuchome tutafune na familia Mkuu. Ingekuwa mchepuko analiwa na familia sawa.
 
Aisee suala la kuchepuka hata upige tarumbeta vipi haliepukiki kama watoto wenyewe ndo hao wanafungasha nyuma kama wamevishwa pampas za watoto wadogo. Watoto chuchu kijua cha saa nne unakuta toto hata sidiria hajaanza kuvaa bado msumali


Wewe shukuru tu, kwanza hujaolewa na pia mwambie atumie kondom mengine hayakuhusu muachie mme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…