mmmuhumba
JF-Expert Member
- Nov 8, 2017
- 491
- 476
Mwanamke ni mwenye ndoto, mwanamke ni mlezi na mwenye moyo wa kusaidia, mwanaume kuzibeba ndoto za mwanamke wako ni heshima.
Mahusiano na ndoa havipaswi kuwa ni kaburi la ndoto za mwanamke.
Tutajifunza, wanawake hufanya chochote kwa mwanaume ampendaye na kikubwa ni kuishi kama moto, kuacha ndoto zake na kukopa, kujituma, kutunza na kumtetea mwanaume wake ili aweze kufika ndoto zake.
#Tuwapende wanawake zetu na tuwasaidie kama wajitoavyo kwetu;
1. Kimawazo
2. Kimali
3. Kinguvu
Mahusiano na ndoa havipaswi kuwa ni kaburi la ndoto za mwanamke.
Tutajifunza, wanawake hufanya chochote kwa mwanaume ampendaye na kikubwa ni kuishi kama moto, kuacha ndoto zake na kukopa, kujituma, kutunza na kumtetea mwanaume wake ili aweze kufika ndoto zake.
#Tuwapende wanawake zetu na tuwasaidie kama wajitoavyo kwetu;
1. Kimawazo
2. Kimali
3. Kinguvu
- Mnogeshe umpendae.
- Mwanamke ni pacha wa mwanaume kihisia.
- Mapenzi bora ni afya ya akili na ustawi wa malezi bora na maendeleo.
- Mwanamke anayejitambua ujua maana ya kupendwa.