youngkato
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 3,639
- 3,641
huhuhu Avatar mok
Last edited by a moderator:
Mkuu mimi mshikaji wangu kabsa kpindi tupo chuo aliweka mtoto ndani yan alikuwa kama ameoa vile matokeo yake amepiga mimba kwao mtoto kafukuzwa alafu alikiwa certificate ilikuwa ni shida kwa iyo ao wadada awajielewi wacha wanyooshwe na ulimwengu.
ivi kama hana hela ya kujikimu atafanyaje kama sio kutafta sehemu ya kujiegesha
Habari
Kwa wale wanaume wanachuo wote ambao wamepanga na wamechukua mabinti za watu wanachuo na kuishi nao. tunaomba muwe wastaarabu na wenye huruma, watoto wa watu wamekuja kusoma nyie mnawafanya wake zenu,wanawapikia, kufua, kudeki na hata kuwaogesha, lakini bado mnawanyanyasa kwa kuwapiga utafikiri mmeshaoa kabisa.
Akichelewa tu kurudi kosa vibao na mateke, akisema leo sitaki naniliii vibao na kumlazimisha, yani mnapiga kama vile mmeshalipia mahali. mnasababisha hata maendeleo kimasomo kushuka.Tafadhali jamani msiwanyanyase kuweni na huruma au msubiri kuja kuwapiga wake zenu.
Kinachosikitisha zaidi mnawapiga na mkimaliza chuo ndio imetoka hiyo eti unaenda kutafuta mke mwema mbele ya safari vibaya sana,sijabuni nimeona sana jinsi wadada wanavyonewa.
Be kind you men.
Kweli what you are saying lakini hao women pia ni consenting adults s they have to see their self worth and quit hayo maisha.
Mama pole kama walishakusasambua!!!Habari
Kwa wale wanaume wanachuo wote ambao wamepanga na wamechukua mabinti za watu wanachuo na kuishi nao. tunaomba muwe wastaarabu na wenye huruma, watoto wa watu wamekuja kusoma nyie mnawafanya wake zenu,wanawapikia, kufua, kudeki na hata kuwaogesha, lakini bado mnawanyanyasa kwa kuwapiga utafikiri mmeshaoa kabisa.
Akichelewa tu kurudi kosa vibao na mateke, akisema leo sitaki naniliii vibao na kumlazimisha, yani mnapiga kama vile mmeshalipia mahali. mnasababisha hata maendeleo kimasomo kushuka.Tafadhali jamani msiwanyanyase kuweni na huruma au msubiri kuja kuwapiga wake zenu.
Kinachosikitisha zaidi mnawapiga na mkimaliza chuo ndio imetoka hiyo eti unaenda kutafuta mke mwema mbele ya safari vibaya sana,sijabuni nimeona sana jinsi wadada wanavyonewa.
Be kind you men.
Wapi naweza pata mwana chuo mmoja (mdada) for a short period of time?wanachuo wengi bongo wanawaza ngono kuliko kitu kingine chochote, sio mabinti sio wakaka, very hard kwa kweli..
Mbona mnatupia lawama upande mmoja tu, hivi wanaume mkiacha kutongoza na mkakataa kutongozwa na hawa wanawake kuna kitakachoendelea? Mabadiliko yanatakiwa kwa wote na si kwa jinsia moja.
Ngono kwa wanafunz haitakiwi, tuchukue hatua.!
Wapi naweza pata mwana chuo mmoja (mdada) for a short period of time?
we jamaa umeniwahi ndio nlikua naandka hyo comment