Ujumbe kwa wanaume wanachuo

Ujumbe kwa wanaume wanachuo

Nimepangisha wanachuo hapa yaan wenyewe iwe mchana au usiku ni kugegedana tu sijui hata wanasoma kwel.
 
Nafikiri elimu na ushauri uelekezwe zaidi kwa hao mabint, coz sio kama wanabakwa, bali wanakubali wenyewe maisha hayo. Tena hata mwezi hajamaliza tangu ajiunge na chuo, tayari anaingia mahusiano kama vile ni moja ya sifa za hostel. Na mbaya zaidi watatumia condom siku ya kwanza tu, then anaachia jamaa amwagilia yai lipevuke akameze vidonge vya kuzuia au kutoa mimba! Ila marafiki huko chuoni nao wanawaharibu kweli wasichana wenzao. Maoni yangu.
 
Habari

Kwa wale wanaume wanachuo wote ambao wamepanga na wamechukua mabinti za watu wanachuo na kuishi nao. tunaomba muwe wastaarabu na wenye huruma, watoto wa watu wamekuja kusoma nyie mnawafanya wake zenu,wanawapikia, kufua, kudeki na hata kuwaogesha, lakini bado mnawanyanyasa kwa kuwapiga utafikiri mmeshaoa kabisa.

Akichelewa tu kurudi kosa vibao na mateke, akisema leo sitaki naniliii vibao na kumlazimisha, yani mnapiga kama vile mmeshalipia mahali. mnasababisha hata maendeleo kimasomo kushuka.Tafadhali jamani msiwanyanyase kuweni na huruma au msubiri kuja kuwapiga wake zenu.

Kinachosikitisha zaidi mnawapiga na mkimaliza chuo ndio imetoka hiyo eti unaenda kutafuta mke mwema mbele ya safari vibaya sana,sijabuni nimeona sana jinsi wadada wanavyonewa.

Be kind you men.

Nia mpango wa kwenda Chuo mwakani,kumbe ndio mambo yenyewe.Duh,ngoja nijipande kuwachuna mabazazi.
 
Tafadhari nielekeze hata kwa pm ni wapi upuuzi huu unafanyikia, kisha nitaleta mrejesho baada ya kutimiza hatua nnayotaka kuchukua.

Very disgusting!!
 
Kuna mmoja nilimshuhudia kipindi nasoma alikuwa cheti CBE pale anapigwa wenzake wanafwata wanamleta hostel amevimba kapasuliwa sijui alikuwa anapigwa na nini yule anametoboka mara kachanika tena usoni na mwilini ila bwana alikuwa sio mwanafunzi na uyo binti alimpindua shoga yake akakaa yeye
Nilikuwa simpi pole maana ulikuwa upuuzi anapigwa anaondoka akipona anarudi wanakaa wiki2 kipigo cha haja anarudi hostel kuugulia then anarudi kwa mchuchu yule binti sitamsahau alikuwa hajitambui hataaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom