Mwinjilist mtume nabii
JF-Expert Member
- Feb 21, 2015
- 2,437
- 1,099
Habari ndugu wote!!! jamani naomba kila mwana JF aweze kutoa taarifa za mambo yanaotokea au kufanyika mahali ulipo.
Pia muhimu wanaJF walio karibu kufahamiana ili kutoa habari na kujulishana kama kuna tukio mahali.
Mfano: Mimi nipo Kilombero kwa hiyo, ni vema tukajuana, na wengne pia.
NATOA MAONI
Pia muhimu wanaJF walio karibu kufahamiana ili kutoa habari na kujulishana kama kuna tukio mahali.
Mfano: Mimi nipo Kilombero kwa hiyo, ni vema tukajuana, na wengne pia.
NATOA MAONI