Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,015
Kumbe mwepesiii. Hajawahi hata kushiriki KUNJI UDSMMembe watu walimpa sifa kubwa naye akajitapa sana na maneno yake mbali mbali kimbunga kumba kumba etc kumbe MTUPU TU!
Membe watu walimpa sifa kubwa naye akajitapa sana na maneno yake mbali mbali kimbunga kumba kumba etc kumbe MTUPU TU!
Bora umetumia bando lako maana haya makampuni ya simu hatari, unaweza ukaamka kesho wamekomba lote.Wandugu habari kwenu.
Huyu mwamba alituaminisha kwamba anaweza kupambana na lile dubwasha.
Akaenda kwa zitto zitto akampa nafasi kubwa tu .mshauri wa chama. Membe akateuliwa kuwa mgombea wa uraisi. Akaishia kujikunyata na kujiita mzee wa dk 89. Wewe membe leo kaikana ACT hadharani .
Ujumbe kwa membe, kuwa mpinzani Tanzania ni jambo gumu na la wito kweli kweli.
Wape salaam.
Ikikupendeza futa case ya musiba.
Mbuzi wa bwana heri na shamba la bwana heriWandugu habari kwenu.
Huyu mwamba alituaminisha kwamba anaweza kupambana na lile dubwasha.
Akaenda kwa zitto zitto akampa nafasi kubwa tu .mshauri wa chama. Membe akateuliwa kuwa mgombea wa uraisi. Akaishia kujikunyata na kujiita mzee wa dk 89. Wewe membe leo kaikana ACT hadharani .
Ujumbe kwa membe, kuwa mpinzani Tanzania ni jambo gumu na la wito kweli kweli.
Wape salaam.
Ikikupendeza futa case ya musiba.
Aiseee , dubwasha ndio nani sasa ?Wandugu habari kwenu.
Huyu mwamba alituaminisha kwamba anaweza kupambana na lile dubwasha.
Akaenda kwa zitto zitto akampa nafasi kubwa tu .mshauri wa chama. Membe akateuliwa kuwa mgombea wa uraisi. Akaishia kujikunyata na kujiita mzee wa dk 89. Wewe membe leo kaikana ACT hadharani .
Ujumbe kwa membe, kuwa mpinzani Tanzania ni jambo gumu na la wito kweli kweli.
Wape salaam.
Ikikupendeza futa case ya musiba.
Membe watu walimpa sifa kubwa naye akajitapa sana na maneno yake mbali mbali kimbunga kumba kumba etc kumbe MTUPU TU!
Angeshiriki vipi wakati alivyomaliza form 6 tu akaingia huko usalama?Kumbe mwepesiii. Hajawahi hata kushiriki KUNJI. UDSM
Mimi tangu nimemjua mpaka leo sijawahi kumuelewa akiwa anaongea mbele ya media, hua naona anaongea pumba tu mwanzo mwisho.Membe hana mvuto wala ushawishi yaani hana swagga. Angetuliaga ccm tu. Heshima yake imeshuka sana. Kiherehere na tamaa za uraisi zilimponza.
Yule ni empty set,Kikwete ndio alijaribu kumbeba tu.
You're a genius.Kikwete alimfahamu kuwa alikuwa empy set ndio maana alikuwa anambeba ili angepata ujiko angekuwa anaendesha nchi kwa remote control!!
Wabongo walimjaza naye akajaa akajiona Anorld ndani ya movie la john commando...Membe watu walimpa sifa kubwa naye akajitapa sana na maneno yake mbali mbali kimbunga kumba kumba etc kumbe MTUPU TU!
Ati kachero bobezi. Kakimbia mbioo bila kugeukaMembe watu walimpa sifa kubwa naye akajitapa sana na maneno yake mbali mbali kimbunga kumba kumba etc kumbe MTUPU TU!